HakikaHuyu ni winga muacheni aokoteokote ila tahadhali izingatiwe
Kazi inaishaHivyo nikija tunamaliza kazi
Hapa umezungumza kimahabaSamsung ni simu nzuri kuanzia body mpaka uwezo wa kuprocess vitu japo swali lako lipo in general namimi nakujibu in general mpaka sasa kwa matoleo ya simu yaliyotoka kwa ubora samsung yupo juu ya redmin
Ubora wa :
Body
Kioo
Camera
Processor
Wewe ni winga siyo fundi. Naamini kabisa fundi kama fundi hawezi kuwa na akili kama zako
Sumsung A10 ikizimika inaingia 'safe mode' then badhi ya apps zinakuwa disabled na kuirudisha kawaida inakataaUna changamoto gani kwenye simu yako nikupe solution na bei ya matengenezo
Ulizq chochote notakujibu kwenye comment
Whatsapp 0757937196
Acha Ubinafsi Kiasi Hicho Mkuu....Hiyo sio competition ni ujinga kama unataka competition mhusika kasema anzisha uzi wako
45k kubadilishaSamsung A21 kioo bei gani
Sawa asante kushirirkiAcha Ubinafsi Kiasi Hicho Mkuu....
Uzi bila watu Basi Hauna maana yeyote...
Pia jifunze kuishi na Watu wote Vizuri Sio unaishi vizuri na Watu wanaoegemea hisia zako tu...
Halafu unaona wengine wajinga Unakuwa mwepesi Kiasi Hicho unashindwa hadi kuhimili challenge
Hicho ni gundi imeachia hivyo ni kukitoa na kurudishia upyasimu yangu ina mwaka wa tano haijadondoka wala kupasuka kioo, Ila kwa sasa kioo kimeachia upande mmoja ttzo ni nn ?
A10 hiyo kina button zimejam ndo maana ikiwaka inajiweka safe mode app kuwa disabled ni kwasababu ya hiyo safe mode hivyo check button mkanda wakeSumsung A10 ikizimika inaingia 'safe mode' then badhi ya apps zinakuwa disabled na kuirudisha kawaida inakataa
Nitakuja kama upo Dsm, na Jana. Imeipigiza kwenye meza na kioo sio kizuri for sure, nipe price pls! Na locationHicho ni gundi imeachia hivyo ni kukitoa na kurudishia upya
Katika matoleo ya pixel 5a ndo inaongoza kwa kuzima, hata yangu ilizima ghafla tuuMkuu,Nina simu aina ya Google pixel 5A 5G ilizima ghafla ,nilipeleka Kwa fundi wa hardware alikorokocha ikawaka lakini ikawa inastack fundi akashauri tuiflash baada ya kuflan network ikawa haisomi. Fundi aliifungua ukafanya yake ikawaka ila wiki Moja mbele ikazima mazima.
Kwa uzoefu wako unahisi shida ni Nini na je Kuna dalili ya kupona?