Fundi simu hapa uliza chochote

Fundi simu hapa uliza chochote

Changamoto yake huwa ni sanasana betri kwa pixel 4 4a
Pixel 5 huwa ni circuit
Pixel 3a pia nayo circuit
6a betri
Kwa upande wa betri upoteza ubora pqle unapofanya updates
Betri ikizingua ukibadilisha vip inafanya kazi kama ya mwanzo
 
Kwa bajeti hiyo nakushauri simu ya samsung series ya A unaweza kupata atleast yenye uwezo kidogo
Series za A kidogo zinakaa chaji na accessories zake ni cheap pia simu inauwezo kulinganisha na kampuni nyingine
A56 5G
 
Hiyo pixel 4a ishanipiga Mzinga wa betri
Screenshot_20250620-001135.png
 

Attachments

  • Screenshot_20250620-001135.png
    Screenshot_20250620-001135.png
    275.5 KB · Views: 12
Una changamoto gani kwenye simu yako nikupe solution na bei ya matengenezo
Ulizq chochote notakujibu kwenye comment

Whatsapp 0757937196
Simu ziko za aina nyingi ambazo zina matatizo aina mbali mbali huwezi mtu mmoja kutatua matatizo ya simu aina zote

I suggest you can only share your experience but not to have solutions to all cellphones
 
Simu ziko za aina nyingi ambazo zina matatizo aina mbali mbali huwezi mtu mmoja kutatua matatizo ya simu aina zote

I suggest you can only share your experience but not to have solutions to all cellphones
Ni maoni yako hayo ila simu ni simu troubleshooting ni zile zile maana zina electronics ina basics zake simu ni circuit body displays na sensors
 
Back
Top Bottom