Fundi simu hapa uliza chochote

Fundi simu hapa uliza chochote

Aguos sense 6 na sense7 plus. zina changamoto gani?.
 
Ni maoni yako hayo ila simu ni simu troubleshooting ni zile zile maana zina electronics ina basics zake simu ni circuit body displays na sensors
I am not closed minded

Hata mimi ni fundi simu pia na deal na general electronics repair

Huwezi kuwa na solutions za simu zote
Kuna matatizo ya software na hardware
 
Kubadilisha kioo note 9 ni 240k hivyo vibutton mpaka kupata body ni kati ya 30k
Button nayozungumzia ni ile ya ndani kabisa, hizi za nje zilitoka nikawa natumia pini kubonyeza hivyo imeua pale ndani, nahisi pia ndio iliyochangia kuua kioo

Hii ilivyokufa nimennua note 10+ ya dubai ila performance yake haikuti ile note 9 hata kidogo, kuanzia processor, camera and other features, naona bora nitengeneze ile ila nakua na wasiwasi kama itatengenezeka na kudumu hata mwaka mmoja, maana ni genuine nilinunua maduka ya Samsung kipindi zimetoka
 
Button nayozungumzia ni ile ya ndani kabisa, hizi za nje zilitoka nikawa natumia pini kubonyeza hivyo imeua pale ndani, nahisi pia ndio iliyochangia kuua kioo

Hii ilivyokufa nimennua note 10+ ya dubai ila performance yake haikuti ile note 9 hata kidogo, kuanzia processor, camera and other features, naona bora nitengeneze ile ila nakua na wasiwasi kama itatengenezeka na kudumu hata mwaka mmoja, maana ni genuine nilinunua maduka ya Samsung kipindi zimetoka
Hiyo inatengenezeka uko pande zipi nikupe conection
 
Una changamoto gani kwenye simu yako nikupe solution na bei ya matengenezo
Ulizq chochote notakujibu kwenye comment

Whatsapp 0757937196
Kuna MTU alinunua simu mpya dukani kaliakoo baada ya siku 2 walikuja police kumkamata kwamba ni simu ya wizi. Fundi simu hii ikoje?
 
Button nayozungumzia ni ile ya ndani kabisa, hizi za nje zilitoka nikawa natumia pini kubonyeza hivyo imeua pale ndani, nahisi pia ndio iliyochangia kuua kioo

Hii ilivyokufa nimennua note 10+ ya dubai ila performance yake haikuti ile note 9 hata kidogo, kuanzia processor, camera and other features, naona bora nitengeneze ile ila nakua na wasiwasi kama itatengenezeka na kudumu hata mwaka mmoja, maana ni genuine nilinunua maduka ya Samsung kipindi zimetoka
Inatengenezeka mkuu inapona kabisa chamsingi nikupata accessories zake
 
Asante kwa kujibu ila ingekua vyema ukaanzisha uzi wako kuliko kuja kutafuta wateja kwenye platform aliyoanzisha mwenzi

Asante kwa kujibu ila ingekua vyema ukaanzisha uzi wako kuliko kuja kutafuta wateja kwenye platform aliyoanzisha mwenzio.
Big up wote tukisimama hivi tutaenda sawa
 
Kuna MTU alinunua simu mpya dukani kaliakoo baada ya siku 2 walikuja police kumkamata kwamba ni simu ya wizi. Fundi simu hii ikoje?
Hiyo ni kweli kabisa inatokea simu nyingi Kariakoo sio mpya ni refurbished wanachofanya wanakuuzia kama mpya wanatafuta box cha kuzingatia check imei iendane na box na sio kwa sticker bali check ndani kabisa inayosoma ndani ndo iko kwa box pia unaweza kujilizisha kwa kuchek imei yako katika site ili uweze kujua info zake
Pia kuna baadhi ya simu unakuta zimetoka nje hivyo zikifikq huku azisome network kinachofanyika wanarepair network unakuta ukiwasha simu inaletq warning fulani kabla ya kuwaka yaani bootloader iko open au simu uwezi kuinstall baadhi ya app inakwambia rooted ukikutana hizo simu jua kuna kitu kimefanyika
 
mkuu ni ipi changamoto ya aguos sense6 na sense7 plus?.
Kwa Aquos ni kweli na sio hizo tu niseme zote zinachangamoto sana sikushauri kabisa kwa hizi simu zina dosari nyingi za kiwandani
 
Back
Top Bottom