Fundi simu hapa uliza chochote

Fundi simu hapa uliza chochote

npe main cpu chip ya redmi 10c imekufa na znawekwa fake sm inawaka only few days haiwak tena wala ku show charging animation
Karibu ndugu kwa bahati mbaya hiyo model ina hiyo changamoto yaani hiyo ni manufacture issue hivyo nakushauri kubadilisha simu ili kuepuka gharama za kubadilisha kila mara
 
Hivi hakuna namna naweza kuhamisha mafile kwa simu ambayo kioo hakisense.
 
Picha hii
1000015664.jpg
 
Kwa bajeti ya laki tatu unashauri mteja anunue simu gani nzuri kwa matumizi ya Sasa
zingatia Simu iwe used au mpya.
 
Kwa bajeti ya laki tatu unashauri mteja anunue simu gani nzuri kwa matumizi ya Sasa
zingatia Simu iwe used au mpya.
Kwa bajeti hiyo nakushauri simu ya samsung series ya A unaweza kupata atleast yenye uwezo kidogo
Series za A kidogo zinakaa chaji na accessories zake ni cheap pia simu inauwezo kulinganisha na kampuni nyingine
 
Back
Top Bottom