Hiyo 48,000/= unapata kuona league ya EPL, CL Europa league? Na commentary yao ipo kwenye lugha ya kifaransa maana nasikia hivyo ving'amuzi ni kwa ajili ya nchi zinazotumia kiingereza.48,000
Hiyo 48,000/= unapata kuona league ya EPL, CL Europa league? Na commentary yao ipo kwenye lugha ya kifaransa maana nasikia hivyo ving'amuzi ni kwa ajili ya nchi zinazotumia kiingereza.
Mwisho weka namba yako ya simu.
kwa sisi wa mtwara vpBei zetu za ving'amuzi
>DSTV- 99,000 (kikiwa na kifurushi cha Compact)
>Azam Tv - 145,000
>Startimes(dish) - 140,000
>Startimes (antenna) - 79,000
>Canal - 185,000 (one month subscription + installation[ufundi])
Tunakuletea popote ndani ya Dar es Salaam
Instagram @nova_satellite_dealers
FTA ni kiasi gani kila kitu mpaka naangalia channels?-Tunauza Ving'amuzi aina zote Canal,Azam, DSTv, Zuku, Continental, Digitek, Star Times kwa bei nafuu.
-Tunafunga na kurekebisha madish
-Tunafunga Free To Air (FTA - local) channels za Tanzania ambazo hulipii kwa mwezi.
-Tunafunga channels za movie, documentary, mieleka, fashion, wanyama, muziki, watoto (cartoon) ambazo hulipii (free)
-Tunafunga TV ukutani kwa kutumia wall brackets
Huduma hizi ni kwa Dar na mikoa ya karibu
>Contacts
-0764 453848
Sent using Jamii Forums mobile app
Je, unahitaji kuona local channels kwenye TV yako?
-Channels zitakazoonekana ni ITV,EATV,Startv,TBC, CH 10,Uhai TV,Upendo TV,Dizzim TV,Clouds TV,Safari TV nk
-Mfumo unaotumika ni DTT au DVBS2
NB: Hatufanyi utapeli, unalipa baada ya huduma
-Huduma hii ni kwa walio Dar au mikoa ya karibu
Contacts
-0764453848
Je hizo channel zinapatikana nchi nzima au kwa dar es salaam tu? Bajeti yake sh ngapiJe, unahitaji kuona local channels kwenye TV yako?
-Channels zitakazoonekana ni ITV,EATV,Startv,TBC, CH 10,Uhai TV,Upendo TV,Dizzim TV,Clouds TV,Safari TV nk
-Mfumo unaotumika ni DTT au DVBS2
NB: Hatufanyi utapeli, unalipa baada ya huduma
-Huduma hii ni kwa walio Dar au mikoa ya karibu
Contacts
-0764453848
Zinapatikana nchi nzima
UONGO,Hiyo 48,000/= unapata kuona league ya EPL, CL Europa league? Na commentary yao ipo kwenye lugha ya kifaransa maana nasikia hivyo ving'amuzi ni kwa ajili ya nchi zinazotumia kiingereza.
Mwisho weka namba yako ya simu.