Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,805
- 43,240
Tantee Kasie kama ulikuwa mawazoni mwangu changamoto itakuwa kukutana maana weekend watu huwa busy mno
Tukipatikana wenye nia, Mara moja baada ya wiki tutapata muda tuu. Unajua siku zote muda huwa hautoshi kama ilivyo hela. Ndo maana wazungu walisema time is money, wakimaanisha pesa au fedha ina sifa sawa muda. Kwa ufupi tuu, vyote mudaa na fedha huisha haraka kama hautokuwa muangalifu kwenye matumizi nayo. Ukitumia vibaya lazima ujilaumu baadae, ukitumia vizuri hukuzalishia na kukuingizia faida yaani ukiutumia muda vizuri utaingiza pesa na ukiitumia pesa vizuri pia utaingiza pesa zaidi.
Hivyo ni kuamua kufanya maamuzi ya kwamba tarehe 2 tunakutana kwa ajili ya kujadili kitabu.
Ni kutia juhudi tuu.