Mehek
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 7,473
- 10,429
Afadhsli umelugundua hiloHuwa nasoma biblia inahitaji utulivu sana kuelewa,Mambo mengi ni mafumbo sana na ya kiimani,Mshana acha tuendelee na kazi kwanza
Afadhsli umelugundua hiloHuwa nasoma biblia inahitaji utulivu sana kuelewa,Mambo mengi ni mafumbo sana na ya kiimani,Mshana acha tuendelee na kazi kwanza
Haaah mkuu umejuaje kama hao ni wanaume tena wanagonjeka,,,haaa noma kweliView attachment 522601utabiri unatimia?
View attachment 522602mabaki haya yalikutwa kwenye mji wa Sodoma na Gomorrah... Ni wanaume wawili waliokuwa wanashughulikiana
Kwa akili yangu ningeunga tela kwa lutu vuta hata jezi hata kama kwenye pernalt ereaMungu hakutaka waone namna mji unavyoungua na kwa kufanya hivyo hizo kumbukumbu zingewasumbua sana na wakashauriwa waasiangalie na atakayeangalia tu itabidi asiwepo....
Na ndivyo ilivyokuwa....
Hamna kitu kwa hiyo ni uongo sio[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji80] [emoji80]
Tantee Kasie kama ulikuwa mawazoni mwangu changamoto itakuwa kukutana maana weekend watu huwa busy mnoMmmhhh hapa waliosoma divinity A level na O level wakupe na uchaguzi yakinifu.
Actually huwa nafikiriaga kuanzisha club ambayo memba wake watakuwa kila mmoja anasoma kitabu flani halafu mnakutana Mara moja kwa wiki mbili mna discuss chapter moja kisha mnasonga mbele. Mkimaliza kitabu kimoja mnaenda kingine....
Thanks mshana jr beibe kunifikirisha food for thought...
Nafatilia huu mjadala hadi mwisho.
Yaani walishughulikiana mpaka wakafia hapohapo?View attachment 522601utabiri unatimia?
View attachment 522602mabaki haya yalikutwa kwenye mji wa Sodoma na Gomorrah... Ni wanaume wawili waliokuwa wanashughulikiana
Kumbe.Ni Syria ya leo.
Ulikuwepo??????KWA HILI SIKUUNGI MKONO MKUU,LUTH NA MKEWE WALIAMBIWA WASIGEUKE NYUMA ILI WASIWEZE KUSHUHUDIA NAMNA WAKAZI WA MIJI ILE WATAKAVYOTEKETEZA.MUNGU HAKUPENDA LUTH AWEZE KUSHUHUDIA UKALI WA HASIRA YA MUNGU.KAMA NI HISIA ZAKO KUWA MKE WA LUTH ALIGEUKA NYUMA KUWA ALIFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE NAHISI SI SAHIHI.
Hapa nimenote kitu mkuu. Nianze kufuatilia hili andiko.Nadhani ni zaidi ya hilo kwakuwa kwa kiingereza imeandikwa ....he turned around and looked back....yani aligeuka kabisa
Wazo zuri sana.Mmmhhh hapa waliosoma divinity A level na O level wakupe na uchaguzi yakinifu.
Actually huwa nafikiriaga kuanzisha club ambayo memba wake watakuwa kila mmoja anasoma kitabu flani halafu mnakutana Mara moja kwa wiki mbili mna discuss chapter moja kisha mnasonga mbele. Mkimaliza kitabu kimoja mnaenda kingine....
Thanks mshana jr beibe kunifikirisha food for thought...
Nafatilia huu mjadala hadi mwisho.