Fumbo la mke wa Lutu na Sodoma na Gomora

Fumbo la mke wa Lutu na Sodoma na Gomora

Mkuu Kwa Huu Ulimwengu Wa Sasa Hiyo Miji Hapa Duniani IlikuwA Nchi Gani
sodom-gomorrah-9.jpg

mshana huu mji haujabaki kuwa gofu mpaka leo kweli
sg.jpg
 
Ukitafakari sana lutu na mkewe walikuwa wamewekeza ktk mji huo sasa itokee mali zako zote iteketezwe kwa mara moja lazima kibinadamu ungeangalia nyuma kuililia. Pia ukiangalia tabia ya Mungu anapofanya maangamizi kabla ya hapo hutoa onyo hadi onyo, Eden alitoa onyo, wakati wa gharika alitoa onyo.

Sodoma alitoa onyo, kule misri alitoa onyo kabla, kwa wamedi na waajemi alitoa onyo, pale Jerusalem alitoa onyo, mji ukateketea kwa upanga mwaka wa 70 bk. Nk.

Katika onyo zote yeyote aliyetii onyo la Mungu aliokolewa bila kujali anadhambi kiasi gani, mke wa lutu alikiuka onyo la malaika la kutoangalia nyuma. Mdhambi anaweza kuvumiliwa lakini kutokutii agizo la Mungu mhusika atajibebea gharama zake mwenyewe.
 
KWA HILI SIKUUNGI MKONO MKUU,LUTH NA MKEWE WALIAMBIWA WASIGEUKE NYUMA ILI WASIWEZE KUSHUHUDIA NAMNA WAKAZI WA MIJI ILE WATAKAVYOTEKETEZA.MUNGU HAKUPENDA LUTH AWEZE KUSHUHUDIA UKALI WA HASIRA YA MUNGU.KAMA NI HISIA ZAKO KUWA MKE WA LUTH ALIGEUKA NYUMA KUWA ALIFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE NAHISI SI SAHIHI.
 
Mungu hakutaka waone namna mji unavyoungua na kwa kufanya hivyo hizo kumbukumbu zingewasumbua sana na wakashauriwa waasiangalie na atakayeangalia tu itabidi asiwepo....

Na ndivyo ilivyokuwa....
na je baada ya tukio kutokea lutu alirudi tena kwenye huo mji kuangalia hayo maafa
 
Mungu hakutaka waone namna mji unavyoungua na kwa kufanya hivyo hizo kumbukumbu zingewasumbua sana na wakashauriwa waasiangalie na atakayeangalia tu itabidi asiwepo....

Na ndivyo ilivyokuwa....
Nadhani ni zaidi ya hilo kwakuwa kwa kiingereza imeandikwa ....he turned around and looked back....yani aligeuka kabisa
 
Nadhani ni zaidi ya hilo kwakuwa kwa kiingereza imeandikwa ....he turned around and looked back....yani aligeuka kabisa
Na mimi namaanisha hivyo pia,aligeuka kutazama kile kilichokuwa kinaendelea nyuma yake maana alisikia makelele na vilio wakati wakikimbia kutoka nje ya jiji lile.....

"Curiosity"
 
Na mimi namaanisha hivyo pia,aligeuka kutazama kile kilichokuwa kinaendelea nyuma yake maana alisikia makelele na vilio wakati wakikimbia kutoka nje ya jiji lile.....

"Curiosity"
Picha na michoro vinamuonyesha Lutu katangulia mbele na mabinti zake huku kawashika mikono huku mkewe akiwa nyuma...something uncommon hapa
 
Picha na michoro vinamuonyesha Lutu katangulia mbele na mabinti zake huku kawashika mikono huku mkewe akiwa nyuma...something uncommon hapa
Huo ni mchoro na siyo tukio halisi....

Lakini hata tukiamua kuchukulia ni sahihi huo mchoro,huo mchoro umechorwa wakati wakiwa wameshamuacha nyuma na yeye amebadilika na kuwa jiwe la chumvi...

Tatizo ni lipi hapo?
 
Back
Top Bottom