Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,175
- 48,459
Hakuna namna. Ukicheza rafu penati iko pale pale!Waambie wacheze rafu penati zipo tu.
Hakuna namna. Ukicheza rafu penati iko pale pale!Waambie wacheze rafu penati zipo tu.
Utopolo wanasubiri penati ili wahalalishe madai yao na mioyo iburudie na ifarijike dhidi ya kipondo cha Bodi ya Ligi na CAS.Hakuna namna. Ukicheza rafu penati iko pale pale!
Wanafikiri maneno Yao yatasabisha sheria za mpira zikiukwe. Ndio ujue vibudu sio vizuri😆Hakuna namna. Ukicheza rafu penati iko pale pale!
Na ndio maana timu iko fainali Kila mechi ni jasho. Najivunia sana Simba🥰Tunashuhudia soka La Ukweli...! Sio Maigizo ya GSM
😅😄😃😀Wanafikiri maneno Yao yatasabisha sheria za mpira zikiukwe. Ndio ujue vibudu sio vizuri😆
Wanafikiri???Wanafikiri maneno Yao yatasabisha sheria za mpira zikiukwe. Ndio ujue vibudu sio vizuri😆
Hayo ni maneno ya mitandaoni wamewaachia mashabiki tu, uongozi wa Yanga upo kimya maana wanajua watachezaYanga haichezi Derby, nyie watu mnaishi nchi gani, Ukraine au?
Asante KEFA KAYOMBOTunashuhudia soka La Ukweli...! Sio Maigizo ya GSM
Kati ya waamuzi safi kabisaAsante KEFA KAYOMBO
Hakuna penalty Simba hanaga kazi mbovuWanavutavuta kamda penalties zianze
Uko sahihi wanapataga sana sare hawaInabidi Simba wapate goli la 3 maana hawa hawakawii kutugeuka
Muda si mrefu refa atawazawadia penatiInabidi Simba wapate goli la 3 maana hawa hawakawii kutugeuka
Umeona mkuu,Muda si mrefu refa atawazawadia penati