majebelenzoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2024
- 746
- 1,000
Na mechi ya derby atacheza ila simba akishinda yanga hachezi derby🤣🤣🤣🤣Simba akitoka draw mechi hii, Yanga bingwa tayari
Na mechi ya derby atacheza ila simba akishinda yanga hachezi derby🤣🤣🤣🤣Simba akitoka draw mechi hii, Yanga bingwa tayari
Na mechi ya derby atacheza
#Leteni timu.Yanga ndio bingwa tena, pamoja na Simba kubebwa kama mtoto mdogo, ila hana mpira tena, NBC hana lake
Natabiri 100 %√ hii ID sio ya JK wala mzee ManaraYanga ndio bingwa tena, pamoja na Simba kubebwa kama mtoto mdogo, ila hana mpira tena, NBC hana lake
Hawana pa kukimbilia, ndio faraja yao.Mbona vyura wanalalamika sana?
Da hawa watu sijui na elimu?. Hivi ingekuwa MO angekuwa anadhamini timu 8 sijui Hali ingekuaje?.Hawana pa kukimbilia, ndio faraja yao.
TPBL na TFF wameisusa.
CAS imewatupa
Yule yule Mpiga sarakasi.Nani katupia
Mutale yupo fiti Sana!Safi Mutale
Akimantain itakuwa safi mno.Mutale yupo fiti Sana!
Subiri kwanzaNgoja niangalie el classico muwe mnatupia update penalty ikipatikana
Maana naona refa Kisha kasirika
Waambie wacheze rafu penati zipo tu.Ngoja niangalie el classico muwe mnatupia update penalty ikipatikana
Maana naona refa Kisha kasirika