Madrid imefikia climax na kocha wake. Msimu ujao inabidi apatikane kocha mpya na rebuilding ya uhakika.Madrid fala sana,kishakula nne,alonso kazi anayo
Alisikika topolo lenye hasira kali baada ya kugalagazwa huko casYanga ndio bingwa tena, pamoja na Simba kubebwa kama mtoto mdogo, ila hana mpira tena, NBC hana lake
Unalalamika au unatoa updatesMadrid fala sana,kishakula nne,alonso kazi anayo
Naunga mkono hoja.Budo asiachwe
Hii Madrid imefuata nini tena hapa😂😂😂Madrid imefikia climax na kocha wake. Msimu ujao inabidi apatikane kocha mpya na rebuilding ya uhakika.
Budo asiachwe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ila nyie watuNatabiri 100 %√ hii ID sio ya JK wala mzee Manara
Wanaoumia ni utopolo.... hatuchezi fc
😂😂😂😂😂
Una uhakika hao walikuwa ni MAWAKILI 16 kabisa wa SHERIA??????
Hata hivyo kama Mukwala asingefunga kulikua Kuna penati halali kabisa,Joshua Budo Mutale alifanyiwa madhambi ndani ya penati boxi.Utopolo wanasubiri penati ili wahalalishe madai yao na mioyo iburudie na ifarijike dhidi ya kipondo cha Bodi ya Ligi na CAS.
Ni Mjinga TU asietambua Sheria ya penati katika mchezo wa mpira wa miguu.Mambo ya 5imbaView attachment 3331072
🤣🤣🤣😂😃Hata hivyo kama Mukwala asingefunga kulikua Kuna penati halali kabisa,Joshua Budo Mutale alifanyiwa madhambi ndani ya penati boxi.
Sema ikawa advantage goli liliingia.