FULL TEXT: Hotuba ya Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CHADEMA (T) na KUB kwa Umma wa Watanzania kuhusu Corona (COVID-19)

wa kule kwa 9/11, wakati wa janga lile alifichwa. Pia yawezekana kuna sababu za msingi za kumficha na sio kujificha.
 
Katika vitu huwa vinafanya umtambue mtu hekma yake na uelewa wake ni pamoja na mitizamo yake. Kiukwel mh MBOWE hakutakiwa kushawishi njia ambayo kila mtu ameanza kuiacha kuitumia kwa kutokuonesha matunda yoyote mazuri

Ukiwa Kama kiongozi mkubwa unaeota siku moja kuwa kiongozi wa nchi hutakiwi kuonesha ujinga mbele ya wananchi unaowategemea wakuamini ili baadae wakupe dhamana ya kuwaongoza.

Kiongozi muda huu wa matatizo hatakiw kuonekana kua anataka kutumia matatizo ya wananch wake ili ajinufaishe kwa maslai yake. Ukiwa Kama kiongozi hutakiw kuatarisha maisha ya unae muogoza kwa njia yoyote Ile na inatakiwa utoe haki sawa kwa levo zote.

Yeye Kama kiongozi hakutakiwa kulazimisha serekal ifanye Lock down Kwan hii ni njia moja hatari Sana kwa raia maskini Kwani hata ukisema wapewe pesa hujui janga litaisha Lini na serikali itatoa pesa mpaka Lini? Na vipi baada ya Corona watanzania wataishije au mfano wewe ukiwa umesha chukua nchi utaiongoza vip bila pesa? Si ndio itakuwa hospitali madawa hakuna. Miundombinu kuwa mibovu. Njaa kibao watu kukosa mishahara Yao na matatizo mengine. Au unataka Hali iweh ivi

Wewe Kama kiongozi mkubwa umeshindwa kuelimisha watu njia nzuri na muhim Sana ambayo inaenda kutumiwa na watu wengi. Kiongozi ulitakiwa uanze kutoa elimu kwa nguvu zote ya kuelimisha watanzania kuhakikisha wanajikinga kwa kuvaa mask na kuosha mikono kila wakati Kinga ambayo ingeweza kulinda maskini na tajiri wote kwa wakati mmoja ulitakiwa ulazimishe serikali labda ihakikishe inagawa barakoa kwa raia bure na sanitizer ili kujikinga na Sio kuforce watu wakae ndan ok tuseme serikali imefata Kama mnavyotaka watu wakae ndani Ila vipi wale watu ambao mitaji Yao inategemea yeye kuwa kwenye mizunguko vipi lock down ikiisha na chakula Cha bure kutoka serikalini kika stop umeshawaza huyo mtu ataanzaje upya Maana baadh ya kazi za watanzania wengi zinataka kila siku uwepo ukimiss hata siku moja unakuwa umesha toka kwenye Ramani

Viongozi wote TANZANIA mlitakiwa muwe namba moja kusimama na raia na siku kusimama kupingana na hoja za rais. Tarehe moja Trump katangaza kuwa ndio mwisho wa Lock down watu watatembea Ila wavae barakoa na wawe wanasafisha mikono Yao Sasa nchi Kama Marekani inayoongoza kwa vifo na wagonjwa imeona Lock down haisaidii Ila inaharibu watu uchumi na akili wewe kiongozi wa juu Tanzania kila siku unalilia lock down au ndio mtoto akililia wembe muache umkate

Kwanini msianze kulia ofisi yenu inayowapatia posho kila siku ifungwe. Na japo kuwa tayari mmesha wapoteza wapendwa wenu wawili umo humo ndani lakini mnajifanya Kama hamuoni ila macho yenu yote yanaona Kariakoo na feli watu wanapojipatia Mia mbili mbili zao ingekuwa kweli mnataka nchi isiingie matatizoni kwa njia ya Lock down mngekuwa mnapigia debe ofisi yenu ifungwe Kama mnavyo pigia debe vitu vingine.

Tanzania ndio nchi pekee Kuna baadhi ya watu wanaweza kujikinga Corona kwa barakoa na kunawa mikono wengine hawawezi njia hiyo ila wao wafungiwe ndani mpaka ugonjwa utakapo Isha

Kiongozi Kama kiongozi Sasa hivi hutakiwi kupambana na hoja za rais kisa kuogopa kumpa credit Ila unatakiwa kuungana na rais ili kusaidia wananchi kiongozi yoyote Yule TANZANIA anatakiwa nguvu aelekeze kwenye barakoa na sanitizer au maji kutirirka na hii ndio njia sahihi wanayo umia China India na nchi zingine lock down ni usanii tu MAREKANI alifungia watu ndani akiwa na wagonjwa 1230 na vifo 270 angalia takwimu leo zinasemaje

Ahsanteni
Kiufupi hotuba ya Jana ya mbowe ni hotuba bora toka kwa mwanasiasa toka Tanzania ipate uhuru
 
Tofaut na kukaa ndani hakuna kinga nyingine ya corona labda utembee ndani ya puto
Tofauti na kujifungia ni kutoka nje kupambana na adui. Akikufuata huko ndani, kwa njia moja au nyingine, utakimbilia wapi wakati njia zote zzimefungwa? Kinachotokea kwenye nchi ambazo wananchi wamelazimishwa kujifungia ndani, adui anawamaliza bila yeye kuangamia. Mwoga tu ndiye hutafuta jinsi ya kukwepa mapambano.

Vita hii tutashinda TUKIJINGA KUWAKINGA WAPENDWA.
 
Viongozi wa upinzani wanajidai wanawapenda watz lakini ni siasi, kuongoza nchi si mchezo hasa nchi masikini na changamoto ni kwenye magonjwa makubwa ya miripuko kama haya, ni bora corona kuliko njaa hatukaa ndani kujikinga na corona ilihali tuna njaa tutatoka tu, au tukae ndani kisha uchumi wetu uwe mbaya zaidi itakuwaje tutao baki tutabaki hakuna magonjwa yaliyo wahi kuua watu nchi nzima, we will fight until last breath...

Sent using Jamii Forums mobile app
Toka lini Tanzania ni masikini?
 
Usinge kuwa nyumbu usinge jua naongelea nn

Sent using Jamii Forums mobile app
aaaaaaaaaaaaaaaaaaah time will tell
EWxRUYxWkAEPXht.jpg
 
Mbowe nae ashauri mambo ya msingi anajua kabisa Serikali haina pesa halafu kakazania watu wajifungie....
Anajuaje wakati wote tumeambiwa sisi ni matajiri tuna reserve fund ya kutosha kuendesha nchi miezi 6 bila kukusanya chochote


Active Mind
 
Hakuna Genius mwanasiasa duniani, Ila sishangai ukiangalia michango ya watu wengi humu JF na ukaona wanajiita Great Thinkers, yawezekana kwa level ya uelewa wako Mbowe akawa genius. Na wengi watakupa like kumwita genius ndo kudhibitisha nilichomaanisha hapa.
Ma-Genius wapo sekta zote. Wengi tu katika siasa wameonesha uwezo wa kipekee. Unyamwezini kulikuwa na mtemi mmoja anaitwa Mwanansali. Ukipata wazee wakakusimulia mambo yake, a true genius. Wapo pia kina Mkwawa, Baba wa Taifa letu, Julias Nyerere, na kwingineko kina George Washington na pia Henry Kissinger. Hiyo ni mifano michache
 
Thanks for this, kwa vile ni cut paste, from A4, edit kwa ku save space between paras
Hapa nimekuwekea mfano, ukisha save hii quote pia mimi nitaifuta to save space, kwenye hii chini nime save space ya more than 200 lines ambazo zilikuwa wasted.
Ila hata usipoirekebisha, modes will do.

P
Duuu! Mkuu? Yaani nondo zooote hizi comment yako ya kwanza ni Typos? Kwa Thesis nzito hii???
 
Tofauti na kujifungia ni kutoka nje kupambana na adui. Akikufuata huko ndani, kwa njia moja au nyingine, utakimbilia wapi wakati njia zote zzimefungwa? Kinachotokea kwenye nchi ambazo wananchi wamelazimishwa kujifungia ndani, adui anawamaliza bila yeye kuangamia. Mwoga tu ndiye hutafuta jinsi ya kukwepa mapambano.

Vita hii tutashinda TUKIJINGA KUWAKINGA WAPENDWA.

Unavyoongea kanakwamba adui ni mtu mpwa unazingua fatilia vizuri upate sababu kwnn vifo vinaendelea na sio kwamba waliojiweka ndani ugonjwa unawafata acheni kujipa moyo sisi tushalikoroga amna budi kulinywa

Hivi rate yetu ya kuongezeka kwa visa vya corona unafananisha tz na kenya?
 
Lock down haijazuiliwa... jiwekee mwenyewe na familia yako..

Serikali haimzuii mtu kujifungia nyumbani kwake..

Usitake kulazimisha unachotaka wewe wote wafanyiwe katika nchi huru..

Jifungie mwenyewe kama unataka lock down
Mkuu kwenye magonjwa ya maambukizi hatari kama Covid 19, huwezi kupambana wewe na familia yako. Toa ushauri wa mbadala wa lockdown ni upi wakati ambapo kasi na vifo vinaongezeka kwa kasi? Mbowe ametoa ya kwake
 
Katika vitu huwa vinafanya umtambue mtu hekma yake na uelewa wake ni pamoja na mitizamo yake. Kiukwel mh MBOWE hakutakiwa kushawishi njia ambayo kila mtu ameanza kuiacha kuitumia kwa kutokuonesha matunda yoyote mazuri

Ukiwa Kama kiongozi mkubwa unaeota siku moja kuwa kiongozi wa nchi hutakiwi kuonesha ujinga mbele ya wananchi unaowategemea wakuamini ili baadae wakupe dhamana ya kuwaongoza.

Kiongozi muda huu wa matatizo hatakiw kuonekana kua anataka kutumia matatizo ya wananch wake ili ajinufaishe kwa maslai yake. Ukiwa Kama kiongozi hutakiw kuatarisha maisha ya unae muogoza kwa njia yoyote Ile na inatakiwa utoe haki sawa kwa levo zote.

Yeye Kama kiongozi hakutakiwa kulazimisha serekal ifanye Lock down Kwan hii ni njia moja hatari Sana kwa raia maskini Kwani hata ukisema wapewe pesa hujui janga litaisha Lini na serikali itatoa pesa mpaka Lini? Na vipi baada ya Corona watanzania wataishije au mfano wewe ukiwa umesha chukua nchi utaiongoza vip bila pesa? Si ndio itakuwa hospitali madawa hakuna. Miundombinu kuwa mibovu. Njaa kibao watu kukosa mishahara Yao na matatizo mengine. Au unataka Hali iweh ivi

Wewe Kama kiongozi mkubwa umeshindwa kuelimisha watu njia nzuri na muhim Sana ambayo inaenda kutumiwa na watu wengi. Kiongozi ulitakiwa uanze kutoa elimu kwa nguvu zote ya kuelimisha watanzania kuhakikisha wanajikinga kwa kuvaa mask na kuosha mikono kila wakati Kinga ambayo ingeweza kulinda maskini na tajiri wote kwa wakati mmoja ulitakiwa ulazimishe serikali labda ihakikishe inagawa barakoa kwa raia bure na sanitizer ili kujikinga na Sio kuforce watu wakae ndan ok tuseme serikali imefata Kama mnavyotaka watu wakae ndani Ila vipi wale watu ambao mitaji Yao inategemea yeye kuwa kwenye mizunguko vipi lock down ikiisha na chakula Cha bure kutoka serikalini kika stop umeshawaza huyo mtu ataanzaje upya Maana baadh ya kazi za watanzania wengi zinataka kila siku uwepo ukimiss hata siku moja unakuwa umesha toka kwenye Ramani

Viongozi wote TANZANIA mlitakiwa muwe namba moja kusimama na raia na siku kusimama kupingana na hoja za rais. Tarehe moja Trump katangaza kuwa ndio mwisho wa Lock down watu watatembea Ila wavae barakoa na wawe wanasafisha mikono Yao Sasa nchi Kama Marekani inayoongoza kwa vifo na wagonjwa imeona Lock down haisaidii Ila inaharibu watu uchumi na akili wewe kiongozi wa juu Tanzania kila siku unalilia lock down au ndio mtoto akililia wembe muache umkate

Kwanini msianze kulia ofisi yenu inayowapatia posho kila siku ifungwe. Na japo kuwa tayari mmesha wapoteza wapendwa wenu wawili umo humo ndani lakini mnajifanya Kama hamuoni ila macho yenu yote yanaona Kariakoo na feli watu wanapojipatia Mia mbili mbili zao ingekuwa kweli mnataka nchi isiingie matatizoni kwa njia ya Lock down mngekuwa mnapigia debe ofisi yenu ifungwe Kama mnavyo pigia debe vitu vingine.

Tanzania ndio nchi pekee Kuna baadhi ya watu wanaweza kujikinga Corona kwa barakoa na kunawa mikono wengine hawawezi njia hiyo ila wao wafungiwe ndani mpaka ugonjwa utakapo Isha

Kiongozi Kama kiongozi Sasa hivi hutakiwi kupambana na hoja za rais kisa kuogopa kumpa credit Ila unatakiwa kuungana na rais ili kusaidia wananchi kiongozi yoyote Yule TANZANIA anatakiwa nguvu aelekeze kwenye barakoa na sanitizer au maji kutirirka na hii ndio njia sahihi wanayo umia China India na nchi zingine lock down ni usanii tu MAREKANI alifungia watu ndani akiwa na wagonjwa 1230 na vifo 270 angalia takwimu leo zinasemaje

Ahsanteni
Ni aibu kwa watanzania kuwa wajinga hivyo na kufikiri korona itaisha yenyewe bila mapambano ya kujitenga kama nchi nyingine zenye akili na kuwa na idadi ndogo zaidi ya wagonjwa. Ndiyo maana wakenya wanatuita mambumbumbu, kumbe wanayaona mengi kama haya. Angalia Uganda, wagonjwa wangapi na wangapi wamekufa? Tanzania itateketea na korona sababu za ujinga wetu na wa viongozi.
 
... kwenye hotuba ya KUB ameshauri mambo mengi sana sio lockdown peke yake; in short ile hotuba imeshiba; ni hotuba bora kabisa duniani kuhusiana na janga la corona; ni level ya PhD thesis ya best student iliyosimamiwa na jopo la distinguished professors from distinguished universities! Na ukiangalia mataifa duniani yanachezea mule mule kwenye hotuba ya Mbowe kupambana na COVID-19.
Nakuunga mkono kwa asilimia 100. Acha wanaobwabwaja kwa sababu ya chuki za kiasiasa waendelee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viongozi wa upinzani wanajidai wanawapenda watz lakini ni siasi, kuongoza nchi si mchezo hasa nchi masikini na changamoto ni kwenye magonjwa makubwa ya miripuko kama haya, ni bora corona kuliko njaa hatukaa ndani kujikinga na corona ilihali tuna njaa tutatoka tu, au tukae ndani kisha uchumi wetu uwe mbaya zaidi itakuwaje tutao baki tutabaki hakuna magonjwa yaliyo wahi kuua watu nchi nzima, we will fight until last breath...

Sent using Jamii Forums mobile app
Kajifunze kwanza kiswahili urudi. 'miripuko' ni kitu gani ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm siish kwa kula hela ya mwana siasa na Wala Sina chama na sijawai kupiga Kura Wala kusimama folen kusubir kitakbulisho Cha Kura na hamna kiongozi wa CCM Wala CHADEMA ambae Nina irafiki nae
Ku debate na wewe ni kupoteza muda, sababu unaweza kuwa una motives zako, pengine unahisi ukitetea lolote juu ya misimamo ya wenye mamlaka basi humu Kuna watu watakuona na wanaweza kukufikiria kwa lolote.

Sababu ukweli ni kwamba hakuna ulichoandika kinaweza muingia akilini mtu mwenye akili zake, kwa taarifa yako, Serikali yyt duniani lazima iwe na akiba ya kuendesha nchi kwa kipindi fln pindi inapotokea dharula. Hii dharula haiusiani na pesa za kuendesha nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom