FULL TEXT: Hotuba ya Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CHADEMA (T) na KUB kwa Umma wa Watanzania kuhusu Corona (COVID-19)

WATULETE LOCKDOWN LAKINI ISIWE TOTAL LOCKDOWN.....
WATU WAFANYE SHUGULI ZAO KUANZIA ASUBUHI
ILA SAA MOJA KAMILI JIONI KILA MTU NDANI aka
NDEGE TUNDUNI

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia ipi imefanya alafu ikavishinda vifo Nan yupo lock down alafu watu hawaf
Ushauri wa Mbowe ndio pekee unaweza kututoa ktk janga kubwa mno la vifo linaloendelea hasa DSM. Ni mahayawani kama mleta mada hawawezi kuliona hili. Hii ndio dunia imefanya na sio vingibevyo! Endeleeni kutii kauli za wati kama makonda ila DSM hali ni mbaya sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nadhani MBOWE angeanza na wafuasi wake wa chadema.
Awaamrishe Wote wakae lock down.
Hii itapunguza watu kuzurura zurura.
HAYA WANGAPI MPO TAYARI KUKAA LOCK DOWN MBOWE AKITANGAZA?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mwa sayansi koko Wewe kijifukizia sio scientific MTU akipata corona dawa ya corona inaitwaje iliyogunduliwa na wanasayansi kibaraka Wa dawa za wazungu Wewe? Tutajie dawa waliyoigundua hao wazungu wako?

Mzungu anasema nyama mbaya Masai ankula mbuzi mzima eke yake hapati gout uumwa miguu wala matatizo apatayo mzungu akila nyama nyingi sababu Masai anajilia dawa sake ambaxo hats mkemia mkuu hazijui na hajawahi zidhibitisha

Mimi binafsi msomi na kujifukizia najifukiizia na kwenye maombi.kwa mwamposya naenda na kukanyaga mafuta ya upako nakanyaga nikiwa kifua mbele

Kaa na ujinga wako wa kudhatau chako cha waafrika wenzio ikiwemo tiba

Fools die for want of wisdom.

So while you talk about me
Someone else is judging you

Amandla......
 
Ni mpumbavu pekee anayeweza kufananisha USA na Tz. Wenzetu wanapima mpaka 100k kwa siku sisi sijui wanane alafu unakuja kusema mbna USA wamefanya locdown maambukizi na vifo ni vingi? Unajua idadi ya maambukozo Tz?

Wenzetu wanatoka locdown coz wameshachukua measures tyari ikiwepo na mass testing. Wanatoka lockdown coz wameshafurmigate miji yao. Tz imefanya nini?

Mbna huongelei china. Si ilikuwa lockdown je sasa ipo lockdown? Vifo vimeendelea?

Nyie ndyo wazazi waliuza ngombe ili kupeleka ngombe shule.

Sent using Jamii Forums mobile app
siku sisi sijui wanane

*********
Unaongeleaje kitu ambacho hujui mzee baba/mama

**********
locdown/lockdown

maambukozo/Maambukizi

**********
Nyie ndyo wazazi waliuza ngombe ili kupeleka ngombe shule.

MY TAKE
Hivi moo ni nani hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mpumbavu pekee anayeweza kufananisha USA na Tz. Wenzetu wanapima mpaka 100k kwa siku sisi sijui wanane alafu unakuja kusema mbna USA wamefanya locdown maambukizi na vifo ni vingi? Unajua idadi ya maambukozo Tz?

Wenzetu wanatoka locdown coz wameshachukua measures tyari ikiwepo na mass testing. Wanatoka lockdown coz wameshafurmigate miji yao. Tz imefanya nini?

Mbna huongelei china. Si ilikuwa lockdown je sasa ipo lockdown? Vifo vimeendelea?

Nyie ndyo wazazi waliuza ngombe ili kupeleka ngombe shule.

Sent using Jamii Forums mobile app
Du hili povu mmmmh!
 
Kaka umeua ,ngoja waje vijakazi.wake kumuhami,
Mwisho kabisa ni pale Marekani alipo lockdown akiwa na wagonjwa elfu na ushee ,na vifo 270,angalia takwimu zake kwa sasa.pamoja na lockdown yake,hivyo haikumsaidia ndio maana kaachana nayo,sass huyu Mangi anataka nchi na uchumi kwa ujumla usambaratike mpuuzi sana
Katika vitu huwa vinafanya umtambue mtu hekma yake na uelewa wake ni pamoja na mitizamo yake. Kiukwel mh MBOWE hakutakiwa kushawishi njia ambayo kila mtu ameanza kuiacha kuitumia kwa kutokuonesha matunda yoyote mazuri

Ukiwa Kama kiongozi mkubwa unaeota siku moja kuwa kiongozi wa nchi hutakiwi kuonesha ujinga mbele ya wananchi unaowategemea wakuamini ili baadae wakupe dhamana ya kuwaongoza.

Kiongozi muda huu wa matatizo hatakiw kuonekana kua anataka kutumia matatizo ya wananch wake ili ajinufaishe kwa maslai yake. Ukiwa Kama kiongozi hutakiw kuatarisha maisha ya unae muogoza kwa njia yoyote Ile na inatakiwa utoe haki sawa kwa levo zote.

Yeye Kama kiongozi hakutakiwa kulazimisha serekal ifanye Lock down Kwan hii ni njia moja hatari Sana kwa raia maskini Kwani hata ukisema wapewe pesa hujui janga litaisha Lini na serikali itatoa pesa mpaka Lini? Na vipi baada ya Corona watanzania wataishije au mfano wewe ukiwa umesha chukua nchi utaiongoza vip bila pesa? Si ndio itakuwa hospitali madawa hakuna. Miundombinu kuwa mibovu. Njaa kibao watu kukosa mishahara Yao na matatizo mengine. Au unataka Hali iweh ivi

Wewe Kama kiongozi mkubwa umeshindwa kuelimisha watu njia nzuri na muhim Sana ambayo inaenda kutumiwa na watu wengi. Kiongozi ulitakiwa uanze kutoa elimu kwa nguvu zote ya kuelimisha watanzania kuhakikisha wanajikinga kwa kuvaa mask na kuosha mikono kila wakati Kinga ambayo ingeweza kulinda maskini na tajiri wote kwa wakati mmoja ulitakiwa ulazimishe serikali labda ihakikishe inagawa barakoa kwa raia bure na sanitizer ili kujikinga na Sio kuforce watu wakae ndan ok tuseme serikali imefata Kama mnavyotaka watu wakae ndani Ila vipi wale watu ambao mitaji Yao inategemea yeye kuwa kwenye mizunguko vipi lock down ikiisha na chakula Cha bure kutoka serikalini kika stop umeshawaza huyo mtu ataanzaje upya Maana baadh ya kazi za watanzania wengi zinataka kila siku uwepo ukimiss hata siku moja unakuwa umesha toka kwenye Ramani

Viongozi wote TANZANIA mlitakiwa muwe namba moja kusimama na raia na siku kusimama kupingana na hoja za rais. Tarehe moja Trump katangaza kuwa ndio mwisho wa Lock down watu watatembea Ila wavae barakoa na wawe wanasafisha mikono Yao Sasa nchi Kama Marekani inayoongoza kwa vifo na wagonjwa imeona Lock down haisaidii Ila inaharibu watu uchumi na akili wewe kiongozi wa juu Tanzania kila siku unalilia lock down au ndio mtoto akililia wembe muache umkate

Kwanini msianze kulia ofisi yenu inayowapatia posho kila siku ifungwe. Na japo kuwa tayari mmesha wapoteza wapendwa wenu wawili umo humo ndani lakini mnajifanya Kama hamuoni ila macho yenu yote yanaona Kariakoo na feli watu wanapojipatia Mia mbili mbili zao ingekuwa kweli mnataka nchi isiingie matatizoni kwa njia ya Lock down mngekuwa mnapigia debe ofisi yenu ifungwe Kama mnavyo pigia debe vitu vingine.

Tanzania ndio nchi pekee Kuna baadhi ya watu wanaweza kujikinga Corona kwa barakoa na kunawa mikono wengine hawawezi njia hiyo ila wao wafungiwe ndani mpaka ugonjwa utakapo Isha

Kiongozi Kama kiongozi Sasa hivi hutakiwi kupambana na hoja za rais kisa kuogopa kumpa credit Ila unatakiwa kuungana na rais ili kusaidia wananchi kiongozi yoyote Yule TANZANIA anatakiwa nguvu aelekeze kwenye barakoa na sanitizer au maji kutirirka na hii ndio njia sahihi wanayo umia China India na nchi zingine lock down ni usanii tu MAREKANI alifungia watu ndani akiwa na wagonjwa 1230 na vifo 270 angalia takwimu leo zinasemaje

Ahsanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mpumbavu pekee anayeweza kufananisha USA na Tz. Wenzetu wanapima mpaka 100k kwa siku sisi sijui wanane alafu unakuja kusema mbna USA wamefanya locdown maambukizi na vifo ni vingi? Unajua idadi ya maambukozo Tz?

Wenzetu wanatoka locdown coz wameshachukua measures tyari ikiwepo na mass testing. Wanatoka lockdown coz wameshafurmigate miji yao. Tz imefanya nini?

Mbna huongelei china. Si ilikuwa lockdown je sasa ipo lockdown? Vifo vimeendelea?

Nyie ndyo wazazi waliuza ngombe ili kupeleka ngombe shule.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ngombe ndo nini mdau?
 
Si ndo maana ya upinzani hapa tz, serikali ikienda mbele wao wanarudi nyuma.
Hivi muliishafanya tathmini ya kitaalamu kuhusu idadi au % ya mambo ya msingi kwa taifa letu mliyowahi kushauriwa na upinzani na yalikuwa hayana mantiki? Kwa kweli HAKUNA.
Nadhani huo ndio ulitakiwa kuwa msingi wa kujengea hoja badala ya kuwa mabingwa wa kubwabwaja na kutegemea dola kuminya hoja zinazoweza kuja kuokoa taifa letu.
Wa kale walisema ukiwa mkweli na ukawa peke yako ni utakatifu. Lakini ukiwa hauna ukweli na ukawa peke yako ni laana. Na kwa bahati mbaya laana hiyo itakujadhuru hata vizazi vyako. AMEN
 
Kama leo hii nchi ingekuwa locked down naamini mi ccm mngekuwa mnashangilia na kupongeza. Kwasababu nyie huwa mnafuata mkubwa kasema nini, hamzingatii ukweli. Stupid.
Ni mpumbavu pekee anayeweza kufananisha USA na Tz. Wenzetu wanapima mpaka 100k kwa siku sisi sijui wanane alafu unakuja kusema mbna USA wamefanya locdown maambukizi na vifo ni vingi? Unajua idadi ya maambukozo Tz?

Wenzetu wanatoka locdown coz wameshachukua measures tyari ikiwepo na mass testing. Wanatoka lockdown coz wameshafurmigate miji yao. Tz imefanya nini?

Mbna huongelei china. Si ilikuwa lockdown je sasa ipo lockdown? Vifo vimeendelea?

Nyie ndyo wazazi waliuza ngombe ili kupeleka ngombe shule.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila lockdown MAREKANI , Italy, Spain na kwingineko hali ingekuwa mbaya sana. Ni swala la muda tu. Wote wanaokataa Lockdown hapa Tanzania watajionea kwa macho yao au wao wenyewe kutangulizwa na COVID19. Kwa sasa wananchi wengi bado hawajafikiwa na Barakoa na Vitakasaji na haitawezekana. Njia rahisi ni Lockdown. Inaumiza kiuchumi, Lakini inaokoa maisha. Hakuna mbadala wa maisha ya Mtanzania hata mmoja. MBOWE YUPO SAHIHI. NA FIKRA ZA LOCKDOWN NI SAHIHI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wengi ni hawaelewi hata hiyo lockdown ni nini hasa. Hawajui kuwa kuna essential services bado zitahitajika na zitaendelea kama kawaida ila kwa kuzingatia utaratibu unaopunguza maambukizi au social contacts. Na kufanya lockdown siyo lazima iwe exactly the same kama USA au Italy.

Tatizo letu hakuna measures za maana zimechukuliwa zaidi ya kupunguza misongamano, kuvaa Barakoa na kuosha mikono. Mpaka sasa social distancing hawajaipa kipaumbele sana na ndiyo maana mpaka sasa bar bado zinafanya biashara kama kawaida. Yaani watu wenyewe ndiyo ameamua kupractice social distancing na siyo serikali inawataka wafanye hivyo.

Kwa hali yetu ilivyo ambapo watu wananawa na maji yanatiririka chini kuna kila uwezekano kwamba Virus wanakuwa chini ambampo watu baadaye wanawakanyaka na kuwabeba kwenda majumbani mwao. Hivyo hizo sehemu za kuosha mikono inawezekana kabisa zikawa ndiyo sources of contamination (Hayo ni mawazo yangu binafsi).

Tanzania kinachotakiwa kufanyika kwa sasa ni kuzuia kabisa social gathering zote pamoja na makanisa na misikiti, kuzuia social interteiment zote pamoja na michezo na sehemu za starehe kama vile bar, casinos n.k. na kufanya partial lock down kwa kuzuia movement between the regions au wilaya.
 
Endekezeni ubishi tu soon gamba jingine lita dondoka
Katika vitu huwa vinafanya umtambue mtu hekma yake na uelewa wake ni pamoja na mitizamo yake. Kiukwel mh MBOWE hakutakiwa kushawishi njia ambayo kila mtu ameanza kuiacha kuitumia kwa kutokuonesha matunda yoyote mazuri

Ukiwa Kama kiongozi mkubwa unaeota siku moja kuwa kiongozi wa nchi hutakiwi kuonesha ujinga mbele ya wananchi unaowategemea wakuamini ili baadae wakupe dhamana ya kuwaongoza.

Kiongozi muda huu wa matatizo hatakiw kuonekana kua anataka kutumia matatizo ya wananch wake ili ajinufaishe kwa maslai yake. Ukiwa Kama kiongozi hutakiw kuatarisha maisha ya unae muogoza kwa njia yoyote Ile na inatakiwa utoe haki sawa kwa levo zote.

Yeye Kama kiongozi hakutakiwa kulazimisha serekal ifanye Lock down Kwan hii ni njia moja hatari Sana kwa raia maskini Kwani hata ukisema wapewe pesa hujui janga litaisha Lini na serikali itatoa pesa mpaka Lini? Na vipi baada ya Corona watanzania wataishije au mfano wewe ukiwa umesha chukua nchi utaiongoza vip bila pesa? Si ndio itakuwa hospitali madawa hakuna. Miundombinu kuwa mibovu. Njaa kibao watu kukosa mishahara Yao na matatizo mengine. Au unataka Hali iweh ivi

Wewe Kama kiongozi mkubwa umeshindwa kuelimisha watu njia nzuri na muhim Sana ambayo inaenda kutumiwa na watu wengi. Kiongozi ulitakiwa uanze kutoa elimu kwa nguvu zote ya kuelimisha watanzania kuhakikisha wanajikinga kwa kuvaa mask na kuosha mikono kila wakati Kinga ambayo ingeweza kulinda maskini na tajiri wote kwa wakati mmoja ulitakiwa ulazimishe serikali labda ihakikishe inagawa barakoa kwa raia bure na sanitizer ili kujikinga na Sio kuforce watu wakae ndan ok tuseme serikali imefata Kama mnavyotaka watu wakae ndani Ila vipi wale watu ambao mitaji Yao inategemea yeye kuwa kwenye mizunguko vipi lock down ikiisha na chakula Cha bure kutoka serikalini kika stop umeshawaza huyo mtu ataanzaje upya Maana baadh ya kazi za watanzania wengi zinataka kila siku uwepo ukimiss hata siku moja unakuwa umesha toka kwenye Ramani

Viongozi wote TANZANIA mlitakiwa muwe namba moja kusimama na raia na siku kusimama kupingana na hoja za rais. Tarehe moja Trump katangaza kuwa ndio mwisho wa Lock down watu watatembea Ila wavae barakoa na wawe wanasafisha mikono Yao Sasa nchi Kama Marekani inayoongoza kwa vifo na wagonjwa imeona Lock down haisaidii Ila inaharibu watu uchumi na akili wewe kiongozi wa juu Tanzania kila siku unalilia lock down au ndio mtoto akililia wembe muache umkate

Kwanini msianze kulia ofisi yenu inayowapatia posho kila siku ifungwe. Na japo kuwa tayari mmesha wapoteza wapendwa wenu wawili umo humo ndani lakini mnajifanya Kama hamuoni ila macho yenu yote yanaona Kariakoo na feli watu wanapojipatia Mia mbili mbili zao ingekuwa kweli mnataka nchi isiingie matatizoni kwa njia ya Lock down mngekuwa mnapigia debe ofisi yenu ifungwe Kama mnavyo pigia debe vitu vingine.

Tanzania ndio nchi pekee Kuna baadhi ya watu wanaweza kujikinga Corona kwa barakoa na kunawa mikono wengine hawawezi njia hiyo ila wao wafungiwe ndani mpaka ugonjwa utakapo Isha

Kiongozi Kama kiongozi Sasa hivi hutakiwi kupambana na hoja za rais kisa kuogopa kumpa credit Ila unatakiwa kuungana na rais ili kusaidia wananchi kiongozi yoyote Yule TANZANIA anatakiwa nguvu aelekeze kwenye barakoa na sanitizer au maji kutirirka na hii ndio njia sahihi wanayo umia China India na nchi zingine lock down ni usanii tu MAREKANI alifungia watu ndani akiwa na wagonjwa 1230 na vifo 270 angalia takwimu leo zinasemaje

Ahsanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna Genius mwanasiasa duniani, Ila sishangai ukiangalia michango ya watu wengi humu JF na ukaona wanajiita Great Thinkers, yawezekana kwa level ya uelewa wako Mbowe akawa genius. Na wengi watakupa like kumwita genius ndo kudhibitisha nilichomaanisha hapa.
Kubali kabisa.mbowe si sawa na wanasiasa uchwara walioko madarakani..ana karama ya uongozi.natural born leader

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom