Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,471
Tatizo ni kuwa wanaweza kupata magonjwa yanayotokana na kuchezea kinyesi. Lakini tatizo kubwa linalowagusa wengi ni kuwa wana-clog barabara zote. Jumamosi jioni ni balaa kupitia njia hizo. Huu ni usumbufu kwa watumiaji wengine.
Fundi Mchundo:
Unajua tunapenda sana mambo superficial. Kuna watu wanakwenda pale kupiga picha za harusi. Eti picha zitoke vizuri. Sioni mantiki yoyote.
Afadhali wangekuwa wanakwenda kwenye beach na ku-spend money hili kufanya mzunguko wa pesa kuwa mkubwa na kuingiza mapato.