Fukwe (Beach) za Tanzania na hatma yake

Tatizo ni kuwa wanaweza kupata magonjwa yanayotokana na kuchezea kinyesi. Lakini tatizo kubwa linalowagusa wengi ni kuwa wana-clog barabara zote. Jumamosi jioni ni balaa kupitia njia hizo. Huu ni usumbufu kwa watumiaji wengine.

Fundi Mchundo:

Unajua tunapenda sana mambo superficial. Kuna watu wanakwenda pale kupiga picha za harusi. Eti picha zitoke vizuri. Sioni mantiki yoyote.

Afadhali wangekuwa wanakwenda kwenye beach na ku-spend money hili kufanya mzunguko wa pesa kuwa mkubwa na kuingiza mapato.
 
Fundi Mchundo:

Unajua tunapenda sana mambo superficial. Kuna watu wanakwenda pale kupiga picha za harusi. Eti picha zitoke vizuri. Sioni mantiki yoyote.

Afadhali wangekuwa wanakwenda kwenye beach na ku-spend money hili kufanya mzunguko wa pesa kuwa mkubwa na kuingiza mapato.[/QUOTE

Lakini kwa upande mwingine huu ni uthibitisho kuwa hatuna sehemu za nje zinazopendeza katika jiji letu. Hatuna parks kama walizo nazo wenzetu ( Central Park, n.k.) ambamo wananchi wangeweza kwenda kujifurahisha na kupiga picha za nje zinazopendeza. Tulichobaki nacho ni fukwe zenye kila aina ya uchafu. Oysterbay beach imejaa vipande vya chupa, makaratasi na uchafu mwingine. Hapo Sea view ndiyo maji yameishachafuka kutokana na jiji kumwaga kinyesi kisichokuwa treated baharini! Tumesahau public spaces na kukazania maghorofa. Iko kazi.

Amandla......
 
Hata hilo limetushinda....heheheheeee....sijui kwa nini? Jibu ninalo lakini naliacha kapuni....
 
Fundi Mchundo:

Unajua tunapenda sana mambo superficial. Kuna watu wanakwenda pale kupiga picha za harusi. Eti picha zitoke vizuri. Sioni mantiki yoyote.

Afadhali wangekuwa wanakwenda kwenye beach na ku-spend money hili kufanya mzunguko wa pesa kuwa mkubwa na kuingiza mapato.[/QUOTE

Lakini kwa upande mwingine huu ni uthibitisho kuwa hatuna sehemu za nje zinazopendeza katika jiji letu. Hatuna parks kama walizo nazo wenzetu ( Central Park, n.k.) ambamo wananchi wangeweza kwenda kujifurahisha na kupiga picha za nje zinazopendeza. Tulichobaki nacho ni fukwe zenye kila aina ya uchafu. Oysterbay beach imejaa vipande vya chupa, makaratasi na uchafu mwingine. Hapo Sea view ndiyo maji yameishachafuka kutokana na jiji kumwaga kinyesi kisichokuwa treated baharini! Tumesahau public spaces na kukazania maghorofa. Iko kazi.

Amandla......


Fundi Mchundo:

Hivyo vitu haviji kama manna, chakula kutoka mbinguni. Ni lazima watu wafanyie kazi.

Huwezi kutegemea misaada ya wahisani na baadaye uwe na park za kupumzikia.

Kuna siku nilikwenda Tanganyika library kuangalia ramani za jiji la DSM. Ramani mpaka za miaka ya 70 zilikuwa zinaonyesha sehemu za kupumzikia, mashule, viwanja vya michezo.

Lakini toka Mafundi Mchundo washike nchi, sehemu nyingi zimejengwa nyumba.
 
Nilikuwa Punta Cana Dominican Republic wiki ya Ubatizo wa Obama, wenzetu wametuzidi hata kama ni wawekezaji.

1. Beach zao ni safi kupindukia, hakuna uchafu hata wadudu!

2. Watalii ni wengi, wiki niliyokuwapo, Beach umbali wa kilometa 2.5 ilikuwa imejaa watalii takriban si chini ya watu 3000!

3. Serikali ya Dominican Republic, ndiyo imegawa viwanja vya baharini ili hoteli za kitalii zijengwe, lakini ajira kwa wa-Dominican ni katika nyanja nyingi.

4. Beach ni huru kutembea kutoka hoteli moja hadi nyingine, mgambo kazi yao ni kuangalia usalama na si kuzuia watu au kuhoji kitambulisho!

5. Uwanja wao wa ndege PUJ si wa manjonjo mengi au sidhani ni wa gharama kubwa kwa majengo zaidi ya runway na technology, hakuna yale mabehewa yenye midomo kuingia au kutoka kwenye ndege, ni mkao wa KIA au DIA ya zamani.

Sisi kinachotushinda si kuuzwa au kupewa Mwekezaji ardhi, bali ni kukosekana kwa mipango na ufuatiliaji wa makini kuhakikisha kuwa mipango inakamilika na serikali inapata mapato yake kupitia kodi na si kuendesha shughuli nzima.

Kama tukibadilika na kuwa makini na fanisi katika kazi, mipango na ufuatiliaji, tuapiga hatua kubwa sana.

http://dr1.com/travel/puntacana/
 
Fundi Mchundo:

Hivyo vitu haviji kama manna, chakula kutoka mbinguni. Ni lazima watu wafanyie kazi.

Huwezi kutegemea misaada ya wahisani na baadaye uwe na park za kupumzikia.

Kuna siku nilikwenda Tanganyika library kuangalia ramani za jiji la DSM. Ramani mpaka za miaka ya 70 zilikuwa zinaonyesha sehemu za kupumzikia, mashule, viwanja vya michezo.

Lakini toka Mafundi Mchundo washike nchi, sehemu nyingi zimejengwa nyumba.

Mafundi Mchundo hatujawahi kushika nchi. Walaamu walimu, mawakili na wahandisi!
 
Back
Top Bottom