Habari wadau.
Kuna huu ushuru ambao watu wenye magari wanalipishwa wanapokuwa wanaingia kwenye fukwe za bahari kwa maelezo kuwa ni ushuru wa halmashauri.
Nimemuhoji mmoja wa watoza ushuru ila hapa Mbezi beach ila majibu yake hayaeleweki.
Mi ningependa kujua, huu ushuru wanaokatisha kwa magari unaenda kweli halmashauri? Na kama ni hivyo, ni kwa sheria gani inayoelekeza malipo haya?
Isijekuwa watu wamejiongeza wanakatisha ushuru na pesa zinaishia kwenye mikono ya wachache!
Kuna huu ushuru ambao watu wenye magari wanalipishwa wanapokuwa wanaingia kwenye fukwe za bahari kwa maelezo kuwa ni ushuru wa halmashauri.
Nimemuhoji mmoja wa watoza ushuru ila hapa Mbezi beach ila majibu yake hayaeleweki.
Mi ningependa kujua, huu ushuru wanaokatisha kwa magari unaenda kweli halmashauri? Na kama ni hivyo, ni kwa sheria gani inayoelekeza malipo haya?
Isijekuwa watu wamejiongeza wanakatisha ushuru na pesa zinaishia kwenye mikono ya wachache!