GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,646
- 109,034
"Mchezaji Gift Fred hajaitwa katika Kikosi cha Timu ya Taifa ya Uganda (The Cranes) na Wachezaji Wote walioitwa tumewataja na wanajulikana" amesema Afisa wa Shirikisho la Soka nchini Uganda (FUFA)
Chanzo: Sports Extra ya Clouds FM Usiku huu.
Taratibu sasa GENTAMYCINE naanza kuona Mapungufu yaliyojificha ya Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said baada ya kuyaona yale mengine ya Udanganyifu katika Usajili halafu baadae Wachezaji hao hao aliowasajili kwa Mbwembwe wanaenda Kuishtaki Yanga SC yake.
Mchezaji ana Sura ya Ajabu Ajabu kama Kandambili (Ndala) ya Sokoni iliyochoka ndiyo Kocha mwenye Akili Timamu wa Timu ya Taifa ya Uganda (The Cranes) apoteze muda wake Kumuita?
Chanzo: Sports Extra ya Clouds FM Usiku huu.
Taratibu sasa GENTAMYCINE naanza kuona Mapungufu yaliyojificha ya Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said baada ya kuyaona yale mengine ya Udanganyifu katika Usajili halafu baadae Wachezaji hao hao aliowasajili kwa Mbwembwe wanaenda Kuishtaki Yanga SC yake.
Mchezaji ana Sura ya Ajabu Ajabu kama Kandambili (Ndala) ya Sokoni iliyochoka ndiyo Kocha mwenye Akili Timamu wa Timu ya Taifa ya Uganda (The Cranes) apoteze muda wake Kumuita?