Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Mechi kali ya Ligi jioni ya leo inapigwa Mwanza katika dimba la CCM Kirumba
Kikosi cha Simba Sports Club kitawakosa washambuliaji wake wawili dhidi ya Pamba JIJI FC, Baraka Mwangosi na Seleman Mwalimu.
Mwangosi aliumia kwenye mechi dhidi ya Singida BS na hajasafiri kwenda Mwanza wakati Selemani Mwalimu yeye bado anatumikia adhabu yake.
VIKOSI VYA TIMU ZOTE
Kikosi cha mwenyeji wa mchezo - Pamba Jiji FC
Kikosi cha timu mgeni - Simba SC
Pamba SC VS Simba SC nani kuibuka mshindi leo?
33' Gooooooaaaal - Anicet Oura
36' Gooooooaaaal - Mwashinga
63' Pamba 1-1 Simba
70' Pamba 1-1 Simba
80' Pamba 1-1 Simba
90' Pamba 1-1 Simba
Dakika 3 zinaongozwa
Kikosi cha Simba Sports Club kitawakosa washambuliaji wake wawili dhidi ya Pamba JIJI FC, Baraka Mwangosi na Seleman Mwalimu.
Mwangosi aliumia kwenye mechi dhidi ya Singida BS na hajasafiri kwenda Mwanza wakati Selemani Mwalimu yeye bado anatumikia adhabu yake.
VIKOSI VYA TIMU ZOTE
Kikosi cha mwenyeji wa mchezo - Pamba Jiji FC
Kikosi cha timu mgeni - Simba SC
33' Gooooooaaaal - Anicet Oura
36' Gooooooaaaal - Mwashinga
63' Pamba 1-1 Simba
70' Pamba 1-1 Simba
80' Pamba 1-1 Simba
90' Pamba 1-1 Simba
Dakika 3 zinaongozwa