FT: CAFCC FINAL 22/23 Second Leg | USM Alger 0-1 Yanga SC 03/06/2023

KUFUATIA MAUJINGA MENGI YALIYOTOKEA LEO UANJANI IKIWA MOJAWAPO LA VIJANA CHIPUKIZI WAOKOTAJI MIPIRA KUTUMIKA KATIKA KUPOTEZA MUDA, NAISHURI TFA YAPELEKE MAPENDEKEZO CUF KUWA FAINALI ZA MASHINDANO YA NAMANA HII, YASIFANYIKE KATIKA NCHI HUSIKA. IWE KAMA VILE ULAYA WANAVYOFANYA
Hii safi sana shida Africa kuna upumbavu mwingi sana
 
KUFUATIA MAUJINGA MENGI YALIYOTOKEA LEO UANJANI IKIWA MOJAWAPO LA VIJANA CHIPUKIZI WAOKOTAJI MIPIRA KUTUMIKA KATIKA KUPOTEZA MUDA, NAISHURI TFA YAPELEKE MAPENDEKEZO CUF KUWA FAINALI ZA MASHINDANO YA NAMANA HII, YASIFANYIKE KATIKA NCHI HUSIKA. IWE KAMA VILE ULAYA WANAVYOFANYA
Yaani fainali mechi mbili,Fainali ina Mambo ya magoli ya ugenini,ligi za Afrika ni za kitapeli
League za Ulaya zitabaki kupendwa tu sio hizi takataka
 
Mwanachi vimba kuna watu moment kama hii inawezekana wasione,sisi tumeiona na tuna cha kusimulia na CAF kwenye database zao wanatujua kuwa ni wa kwanza kutoka Tz kufika fainali na kuvaa medali.
Mna Cha kuzungumzia kwa kombe hili hili la losers au?
 
Kwa niaba ya Ahmed Ally, namwakilisha kusema wapinzani wetu young Africans wamefanya vizuri katika fainali ya leo, hii imeonesha juhudi, hari, morali, uwezo, wa young Africans. Hongereni Sana kocha, wachezaji, mashabiki na watanzania kwa ujumla. 😊🙏
Hakika wewe ndiye shabiki pekee wa simba ambaye haupo kwenye lile kundi lililoitwa mbumbumbu na mwenyekiti mstaafu.
 
Yanga inakuwa klabu ya pili kucheza fainali za kombe la afrika baada Simba mwaka 1993. Hakuna jipya.
 
Back
Top Bottom