Newbies
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 1,476
- 2,147
Kwanza nitoe pongezi kwa Yanga na MASHABIKI wake kwa kutinga Fainali kunako michuano ya Kombe la shirikisho barani Africa.
Mchezo wa Yanga na USM alger katika dimba la nyumbani hautakiwi kuwa na magoli mengi Kama ule wa marudiano.
Utabiri wangu Yanga Vs Usm Alger FT 1-0
Mchezo wa Yanga na USM alger katika dimba la nyumbani hautakiwi kuwa na magoli mengi Kama ule wa marudiano.
Utabiri wangu Yanga Vs Usm Alger FT 1-0