kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 4,314
- 8,306
Mbona Wameshinda? We hukuangalia mpira? Usituchoshe mkuuYanga walistahili kushinda kwa kila namna, kosa moja waliruhusu kufungwa magoli 2 - 1 nyumbani
Mbona Wameshinda? We hukuangalia mpira? Usituchoshe mkuuYanga walistahili kushinda kwa kila namna, kosa moja waliruhusu kufungwa magoli 2 - 1 nyumbani
lala utaelewa keshoMie tu sielewi au???
Yaani yanga kashinda??
Atapata kombe???
Maana watu wanasema yanga kapigwa sijui na kombe hapati???
Nipeni ufafanuzi
Naona roho inakuuma mkuuUna lose hadi kwenye loser, hivi we ni loser wa namna gani?
Kama ingekuwa hakuna Home and Away, kaburi lenu lingekuwa hapa hapa kwa Mkapa; wala msingeitia serikali hasara kwa kutoa ndege ili mkanywe kahawa. Nashindwa hata kufikiria adhabu ambayo angewapa Mzee Magu angekuwepo.Home and away ife na goal la ugenin life huu usenge yani unashinda alafu kombe anachukua mwingine
Watakosa mapato.halafu CAF wabadili haya mambo fainali iwe mechi moja tu tena neutral ground
Kumbe,,,,,,inamaana kombe hachukuwi??Uto alitakiwa ashinde 2 bila ugenini sababu huku nyumbani alinyukwa 2-1 faida ilikuw kwa USMA so hako kagoli ka nguruwe kwake hakana faida tena
Huna hoja aisee! Ni nani huyo aliyetolewa kwenye matuta? Watu wanaujadili huu mchezo wa fainali, wewe unaleta story tofauti kabisa.Mmetoka ndani Dk 90....! Hata kwenye Matuta hamjafika...!
Sasa aliyetolewa kwa Matuta asemeje?
Wewe kule CAFCL umewahi kufika hiyo robo?Uzuri hatua hii kwa mujibu wa CAF hujawahi kuifikia, wewe utakuwa mtu wa robo siku zote Mwakarobo.
SawaKiuhalisia young africans kashinda ila kisheria kafungwa
Ifike hatua FIFA wayaadhibu haya mataifa yenye usengeusenge kama hili la leo mpira wameshindwa kucheza uwanjana wanatumia siasa chafu.