Front Page Ya Jambo Leo Ya Leo Ni Hatari Kwa Taifa

Front Page Ya Jambo Leo Ya Leo Ni Hatari Kwa Taifa

"JAMBA LEO" Limejamba kweli kwa tarehe ya leo... I wish wote tungekuwa na ufahamu kidogo kuhusu vita! Wanazuoni wa kichina wanasema kuwa kwenye Vita huwa hakuna Mshindi wala alieshindwa bali pande zote hutokea majeruhi na vifo!...Vita vya kagera vimetufanya tu chechemee kiuchumi mpaka sasa! ...
 
Bora mmeliona hili jambo. Adui anakaribishwa katika sherehe.
 
Majeshi yapo israel mtu anakaa burundi anatuma kitu kinaangukia magogoni wakitwa watu wenye majeshi imara yasyokuwa na chembe ya siasa na vyombo vya kisasa na sie tumo?

hata hao waislael ni wakawaida hardwere zao zingine kwa sasa zinashindwa mbali sana mfano tank huwez fananisha tank ya muislael hata na k2 black panther yamsouth korea katika battle
 
Huyu mwandishi ni mchochezi hilo jina la uchochezi ni la kwake kabisa na linamfaa.Watu wanafkri wenzao hawana silaha na wamelala tu na hawajui kupigana.Ghadaf alikuwa na vifaa vya kijeshi vya hatari lakini yuko wapi?vita ni mbinu na sio siasa za uonevu kama mnvyoonea chadema amabao hawana hata panga!!

yap vifaa vingi vya kijeshi vinategemea perfomance of the crew, mfano saudi arabia wanakila military hardwere &softwere zinazotengenezwa marekani na ulaya lakin hawawezi kupigana na marekan tatito ni uwezo wa watumiaji wa vifaa hii inapelekea hadi katika military exhibition baadhi ya vifaa kuwa oparated na expert kutoka nchi walio wauzia
 
Huyu mwandishi ni mchochezi hilo jina la uchochezi ni la kwake kabisa na linamfaa.Watu wanafkri wenzao hawana silaha na wamelala tu na hawajui kupigana.Ghadaf alikuwa na vifaa vya kijeshi vya hatari lakini yuko wapi?vita ni mbinu na sio siasa za uonevu kama mnvyoonea chadema amabao hawana hata panga!!

yap vifaa vingi vya kijeshi vinategemea perfomance of the crew, mfano saudi arabia wanakila military hardwere &softwere zinazotengenezwa marekani na ulaya lakin hawawezi kupigana na marekan tatito ni uwezo wa watumiaji wa vifaa hii inapelekea hadi katika military exhibition baadhi ya vifaa kuwa oparated na expert kutoka nchi walio wauzia, nchi nyingi zinazotegemea kununua vifaa crew zake huwa haziperform ipasavyo
 
Hawa huwa ni kama watoto tu, hakuna weledi kabisa katika uandishi wao wa habari. Wanadhani aloamua kupigana ataogopa maonesho haya?????
 
Wakuu salama!

Nimeshitushwa sana na mwenendo wa front page za hili gazeti sielewi lengo nini? kama uhusiano na mataifa hayo ingawa ulikuwa mbaya hapo nyuma sasa ni mzuri kiasi au sana lakini hili gazeti limengangana na maneno ya uchochezi tuuuuuuuuuuuuu

Ni swala la kukemea jambo hili sio nzuri na usalama wa nchi nasoma magazeti ya nchi jirani sioni wakiponda sasa Tanzania!

Kwako mhariri andikeni habari za ndani zenye malengo either ya maendeleo, siasa n.k na sio kuchochea tu hisia.

Asante nimekasirika sana.

attachment.php

Mhariri huyu ni mpuzi kweli.Aelewe kuwa wakati sisi tuna silaha za kichina,Malawi silaha na midege-vita yao ni ya kimarekani,kijerumani,,kiingereza.
Eti ana tamba na bomber jet 7!Unajua wenzio wana nini?
Hata kama hamkemewi,acheni uchochezi.
 
Nimeambiwa linafadhiriwa na riziwani yule muuza sembe na baba yake. Huoni ikulu haijawahi kulionya? Unadhani ingekuwa ----------- ingekuwaje hapo? Nakujibu kuwa ingekuwa mwendo wa tindikali na mabwe pande na milolongo ya barua za ONYO KALI......Hii nbi nchi ya kusadikika

Hahah,,umenikumbusha Mfalme Juha na nchi ya kusadikika
 
wamejipima wapi? kuvunja tofari kwa ngumi sio kipimo cha vita wanatulaghai hawa jwtz.
 
Tunajiandalia maadui wenyewe. Ni kwa neema tu kuvuka salama chini ya utawala huu wa majivuno, kiburi na ulevi wa madaraka. Gazeti la mbuge mtoto wa rais linaandika ----- namna hii! Na serikali hiko wapi? mifukoni mwao? Nauliza usalama wa taifa mko wapi? ....
 
Kwani tuliwaita majirani zetu kuonyesha nguvu zetu? UPUUZI mkubwa sana huu na ni aibu kubwa sana kwa mhariri mkuu wa gazeti hili!
 
Hapa tatizo ni ushamba, ndo mana 1995 mchonga alisema bado mdogo, alikuwa maana sana.
 
Tunajiandalia maadui wenyewe. Ni kwa neema tu kuvuka salama chini ya utawala huu wa majivuno, kiburi na ulevi wa madaraka. Gazeti la mbuge mtoto wa rais linaandika ----- namna hii! Na serikali hiko wapi? mifukoni mwao? Nauliza usalama wa taifa mko wapi? ....

baba usalama wa taifa hamna tena tokea sheria imebadilisha 2006 kuwa watachunguza,kufuatilia na mwisho wataripoti kwa amiri jeshi alafu yeye ndio ataamua hatua ya kuchukua sasa kama alichopelekewa kinamuhusu na yeye unafikiri atachukua hatua gani, ombea siku sheria iseme kuwa wachunguze na ku act apo ndipo kila mtanzania atajua watu wapo na wanafanya kazi
 
Unaweza kututajia habari yeyote ya uchochezi iliyowahi kuandikwa na gazeti la Tanzania Daima? maana nyie maCCM mnapoona gazeti linalowashabikia limekosea mnataka kuambukiza na mengine ni vema sasa Sheria zilizochukuliwa juu ya -----------, Mwananchi na Mtanzania zikachukua nafasi yake kwa hili gazeti la JAMBA LEO.

----------- kutajwa huku jf ni kosa la jinai hapo ktk .......
 
Back
Top Bottom