Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 42,792
- 50,907
Kipi kipya katika vifaa vilivyo onyeshwa? Mwandishi au hao wanao sema Tanzania si Mchezo wameona vifaa walivyonavyo wenzetu/ maadui wetu?
Kumbe lengo la kuonyesha vifaa vya kivita lilikuwa ni kuwatisha maadui wetu walioonyeshwa kwenye gazeti la Habari Leo?
Watanzania...... na akili fupi????
Mtu mzima anatishiwa nyau

