usalama wa taifa tuko vizuri......hayo ni maneno ata kwenye kanga yapoTunajiandalia maadui wenyewe. Ni kwa neema tu kuvuka salama chini ya utawala huu wa majivuno, kiburi na ulevi wa madaraka. Gazeti la mbuge mtoto wa rais linaandika ----- namna hii! Na serikali hiko wapi? mifukoni mwao? Nauliza usalama wa taifa mko wapi? ....
Wakuu salama!
Nimeshitushwa sana na mwenendo wa front page za hili gazeti sielewi lengo nini? kama uhusiano na mataifa hayo ingawa ulikuwa mbaya hapo nyuma sasa ni mzuri kiasi au sana lakini hili gazeti limengangana na maneno ya uchochezi tuuuuuuuuuuuuu
Ni swala la kukemea jambo hili sio nzuri na usalama wa nchi nasoma magazeti ya nchi jirani sioni wakiponda sasa Tanzania!
Kwako mhariri andikeni habari za ndani zenye malengo either ya maendeleo, siasa n.k na sio kuchochea tu hisia.
Asante nimekasirika sana.
![]()
wamejipima wapi? kuvunja tofari kwa ngumi sio kipimo cha vita wanatulaghai hawa jwtz.
Jamani siri ya jeshi wanao ijua ni wanajeshi wenyewe.Niwakumbushe kitu kimoja kwamba wakati tunapigana na NDULI IDD AMINI DADA Watanzania tulikuwa na vifaa ambavyo cyo duni kivile lakini ndugu yetu AMINI alikuwa na ARMLY EQUIPMENTS ambazo zilikuwa bora zaidi kwa wakati huo, na IDD AMINI angelkuwa na wataalamu wa kuvitumia ni dhahili kabisa kwamba vita kati yake na TANZANIA isingemchukua hata wiki moja na angeshinda kwa kishindo.Lakini kwa kuwa alikuwa na vifaa bora vya kivita ila akawa hana skilled labour ndani ya jeshi lake ndiyo maana alipigwa na baadhi ya equipments zake ndo zilizotumika kumpiga baada ya kuwa zimekamatwa na watanzania ambao miongoni mwao walikuwepo watu ambao walikuwa skilled kuweza kutumia vifaa bora vya IDD AMINI DADA.Kwa hiyo jamani vita ina uwanja mkubwa sana wa kuuelezea na siyo kuegemea tu kwenye zana za kivita.
usalama wa taifa tuko vizuri......hayo ni maneno ata kwenye kanga yapo
Huu ni ujinga uliokubuhu , katafute wajinga kama wewe uwaaminishe huna cha kuandika.Nimeambiwa linafadhiriwa na riziwani yule muuza sembe na baba yake. Huoni ikulu haijawahi kulionya? Unadhani ingekuwa ----------- ingekuwaje hapo? Nakujibu kuwa ingekuwa mwendo wa tindikali na mabwe pande na milolongo ya barua za ONYO KALI......Hii nbi nchi ya kusadikika
hahaha wazee wa kunusa huwa hatudili na ujinga ujinga na mihemko ya watuwe kiboko!!!!!! Kwik kwik kwik..........
Mimi mwenyewe nimesitushwa sana na picha hizo bora wageweka tu hayo maneno na kuacha kuweka picha! wakat banda alikuwepo kwa sherehe n.k
Imenisikitisha sana.
Hebu geuka angalia NYUMA YAKO!Huu ni ujinga uliokubuhu , katafute wajinga kama wewe uwaaminishe huna cha kuandika.
Unajua Tanzania kutokana na historia tuliyopitia ni watu wachache waliobahatika kusoma, na kati ya hao waliosoma ni idadi ndogo pia waliobahatika kuelimika. Sasa mfumo huu unawezesha wale wenye VYETI kushika nafasi za maamuzi huku walioelimika wakibaki kuamuliwa na hawa (sheria ndizo zinasimamia).Huyo mhariri hajui kwamba Sam Nujoma sio raisi wa Namibia.
tena tofari zenyewe ni za kuchoma teh teh teh.
jambo leoa
uhuru
dairy news
tazama
habari leo
mzalendo
dira ya mtanzania
rai
mtanzania
jamuhuri la ndugu yangu jackton manyerere hayafai hata kufungua maandazi hata nikinunua raiamwema huwa namsoma johnson mbwambo tu