Front Page Ya Jambo Leo Ya Leo Ni Hatari Kwa Taifa

Front Page Ya Jambo Leo Ya Leo Ni Hatari Kwa Taifa

- Kaka ukweli ni kwamba ile ilikuwa show maalum kwa ajili ya UKAWA ndio maana imekuuma sana kumbe ujumbe ulifika, ujumbe ni kwamba kabla hujavunja Muungano utapambana na ile kitu yenye ncha kali sana, u know!!

Le Mutuz System

Wange weka basi picha za wakuu wa ukawa ndo wqkajua Tnz ilivyo yetu sote. Ila iyo system yako ina walakini mkuu.
 
- Kaka ukweli ni kwamba ile ilikuwa show maalum kwa ajili ya UKAWA ndio maana imekuuma sana kumbe ujumbe ulifika, ujumbe ni kwamba kabla hujavunja Muungano utapambana na ile kitu yenye ncha kali sana, u know!!

Le Mutuz System

Napata kazi sana kukuelewa ngoja nikuache, na unachoa amini leo kesho kinaweza kuwa sio.

Linda heshima yako sasa kama mzee wako ili baadaye ukumbukwe kama baba yako

Unafurahi hii kitu kweli kabisa!!!
ni hatari sana kwa mzee kama wewe na kuusanisha na siasa mambo ya nchi.

Hipo siku!!
 
Wakuu salama!

Nimeshitushwa sana na mwenendo wa front page za hili gazeti sielewi lengo nini? kama uhusiano na mataifa hayo ingawa ulikuwa mbaya hapo nyuma sasa ni mzuri kiasi au sana lakini hili gazeti limengangana na maneno ya uchochezi tuuuuuuuuuuuuu

Ni swala la kukemea jambo hili sio nzuri na usalama wa nchi nasoma magazeti ya nchi jirani sioni wakiponda sasa Tanzania!

Kwako mhariri andikeni habari za ndani zenye malengo either ya maendeleo, siasa n.k na sio kuchochea tu hisia.

Asante nimekasirika sana.

attachment.php

Kweli huku ni kuweka uadui na nchi jirani.
 
Siyo kila sifa inamaanisha uzuri. Sisi tumewaonyesha je tunajua walichonacho au wanachofikiria. Hizi zana zinazalishwa za kisasa kama fashion za vitu vingine. Mwaka mmoja tu unatosha kuonyesha kuwa zana tulizonazoleo zimepitwa na wakati.I still don't understand kwa nini Watanzania tunapenda sifa wakati huo huo tunaomba?
- Sasa kama marais wa Mataifa mengine wamesifia wewe ulitaka Mwandishi aseme nini? Aseme UKAWA ndio super?

Le Mutuz System
 
Back
Top Bottom