sirajiathumani
Member
- Apr 17, 2013
- 35
- 4
Hawa jamaa tangu hafe mmiliki wanatumiwa sijui hawaeleweki mambo yao
Frema,
Kama gazeti lenyewe contributors wake ni akina WJ Malecela unadhani litakuja na heading yenye maana?
Frema,
Kama gazeti lenyewe contributors wake ni akina WJ Malecela unadhani litakuja na heading yenye maana?
!
!
labda alimaanisha maadui hoi kwa kicheko cha mabaunsa kupasua matofali kwa kichwa
Rafiki au mwajiriwa?mhariri ni rafiki ya ritz1
mhariri ni rafiki ya ritz1
Gazeti limekaa kichochezi, vifaa vikiwa tishio kwa mwandishi na mhariri basi wanadhani ni kila mtu anatishika navyo, ninamashaka na utashi wa waandishi wa hilo gazeti, usishangae ukiambiwa hata hapo uwanjani hawa waandishi walichafua hewa kwa hofu
Wote wenye mlengo huu wa propaganda ni bora kukumbuka kuwa haya yalikuwa maonyesho ya siraha za kivita na haikuwa vita.
Ukitaka kujua tofauti ya maonyesho na vita kawaulize jirani zetu pale WESTGATE wawaambie kuwa ni wahuni wangapi waliotetemesha nchi kwa siku kumi na 'vibastora'! Ujinga mwingine bwana, nadhani ni Tanzania tu.