Front Page Ya Jambo Leo Ya Leo Ni Hatari Kwa Taifa

Front Page Ya Jambo Leo Ya Leo Ni Hatari Kwa Taifa

Tatizo la kuwa na wahariri wanaofikiria kwa kutumia tumbo. Haya magazeti ndio yalipaswa kufungiwa muda mrefu sana, ila kwasababu yana maslahi na Ma-CCM yanaachiwa yanapeta. Ni kukuza magomvi yasiyo na tija.

Yaani huyu Mhariri diplomacy yake ni zero kabisa na wahusika wanachekelea tu bila kujua ni to what extent our neighbours relationship is being put at risk. Ili gazeti linapashwa kufungiwa kwa upuuzi walioandika bila kujali linamilikiwa na nani.

Tiba
 
Silaha za kawaida sana hizi..ni average by standard hakuna cha ajabu hapo ni mlofa tu wa watanzania katika kuelewa mambo
 
Hahahaaa hii mi hariri ya cku hzi ni zaid ya mijuha njaa ndo znazoongoza akili zao blood hell!!
 
Hili gazeti nalo! Linatia hasira sana.. Kwa hiyo lengo la kuonesha silaha ilikuwa kwa ajili ya kuwatisha maadui? Kwanza maadui gani? Na kwa silaha gani za ajabu tulizonazo? Je mmeziona walizonazo hao mnaowaita maadui? Kwanza kama nchi tumejianika tu wala hakuna cha kujisifu hapo
 
Silaha za kawaida sana hizi..ni average by standard hakuna cha ajabu hapo ni mlofa tu wa watanzania katika kuelewa mambo

Kweli kabisa

"MAADUI HOI"

alaf unasema urofa, kazi tunayo!!!
 
Yaani huyu Mhariri diplomacy yake ni zero kabisa na wahusika wanachekelea tu bila kujua ni to what extent our neighbours relationship is being put at risk. Ili gazeti linapashwa kufungiwa kwa upuuzi walioandika bila kujali linamilikiwa na nani.

Tiba
Ngoja tuone kama kielelezo cha ujinga wetu kinaweza kuwa visible zaidi ili hata wasioelewa waelewe!

 
nchi yetu tunahubiri amani na tusingependa kuwa na maadui,na ninaamini hatuna maadui.habari kama hizi hazina tija yoyote kwa mtanzania zaidi tu zinaleta uchochezi ambao ni hisia ambazo tulishazisahau.ningependa kuona serikali ikikemea uandishi wa namna hii.
 
Huu ni ujinga uliokubuhu , katafute wajinga kama wewe uwaaminishe huna cha kuandika.

Nona ulivyomshirika wa karibu na ndo maana imekutach. Kashitaki kokote km imekuuma sana
 
Wanashabikia vita utafikiri wao watakua mstari wa mbele kwenye mapambano. Hili gazeti yafaa lifungiwe kwa kuandika upuuzi huu.
 
Frema,
Kama gazeti lenyewe contributors wake ni akina WJ Malecela unadhani litakuja na heading yenye maana?
hivi hili ndo lile gazeti alilosema huyu mj malechela wasome juu ya Warioba? hmna kitu hapo
 
Ingekuwa mwananchi au Tanzania daima imeandika habari kama hiyo ingeishia kifungo cha siku 90
 
Muhariri wa gazeti hili hjatumia vizuri taaluma yake ya uhandishi wa habari, jukwaa la wahariri fanyeni kazi yenu kwa watu kama hawa wanaochafua jina
 
Ingekuwa mwananchi au Tanzania daima imeandika habari kama hiyo ingeishia kifungo cha siku 90

Hilo Gazeti halijakosea, ni kweli tunatisha, hizo silaha hapo hakuna nchi duniani inazo, hata wamarekani hawana, zile ndege ni za kisasa kuliko Drones za Wamarekani, zina uwezo wa kuruka Dar mpaka Kigali kwa dakika moja, acha kabisa.
 
Unategemea nini kutoka gazeti la Ridhiwani na wauza madawa ya kulevya wenzake?
 
Unategemea nini kutoka gazeti la Ridhiwani na wauza madawa ya kulevya wenzake?

- Mtumzima kuandika majungu namna hii inashangaza, kutesa kwa zamu kaka zile enzi zimeisha mlipokuwa mnakula nchi kama mmeiumba kule Butiama, sasa mambo mengine mlipokuwa mnakula kuku kwa mrija sisi tunakula njano hatukusema wauza unga sasa yamebadilika zamu ya wengine ni wauza unga? ha! ha! ha!

- Ridhiwani ni mtoto wa Rais wa Jamhuri ya Muungano, lets say ni corrupt hivi kweli anahitaji kuuza unga? Ni lazima uwe nje ya nchi kwa muda mrefu sana kusema majungu kama haya, pole sana kaka huku bongo mwendo ni mbio mbio ila the word ni kutesa kwa zamu!! ha! ha! zamu yenu iliiisha sasa ni wengine ndio maisha kaka!!, kumbuka zile enzi sisi tunakula Yanga nyie mnakula kuku wanene tena kwa mrija, ha1 ha! ha!

Le Mutuz Sytem
 
Wakuu salama!

Nimeshitushwa sana na mwenendo wa front page za hili gazeti sielewi lengo nini? kama uhusiano na mataifa hayo ingawa ulikuwa mbaya hapo nyuma sasa ni mzuri kiasi au sana lakini hili gazeti limengangana na maneno ya uchochezi tuuuuuuuuuuuuu

Ni swala la kukemea jambo hili sio nzuri na usalama wa nchi nasoma magazeti ya nchi jirani sioni wakiponda sasa Tanzania!

Kwako mhariri andikeni habari za ndani zenye malengo either ya maendeleo, siasa n.k na sio kuchochea tu hisia.

Asante nimekasirika sana.

attachment.php


- Kaka ukweli ni kwamba ile ilikuwa show maalum kwa ajili ya UKAWA ndio maana imekuuma sana kumbe ujumbe ulifika, ujumbe ni kwamba kabla hujavunja Muungano utapambana na ile kitu yenye ncha kali sana, u know!!

Le Mutuz System
 
Kutoa siri za kijeshi jinsi mlivyo na mna nini ni hatari sana kwa maadui wanaweza angalia our weaknesses na kuchua kama their opportunities...

ni wazo tu.
 
- Mtumzima kuandika majungu namna hii inashangaza, kutesa kwa zamu kaka zile enzi zimeisha mlipokuwa mnakula nchi kama mmeiumba kule Butiama, sasa mambo mengine mlipokuwa mnakula kuku kwa mrija sisi tunakula njano hatukusema wauza unga sasa yamebadilika zamu ya wengine ni wauza unga? ha! ha! ha!

- Ridhiwani ni mtoto wa Rais wa Jamhuri ya Muungano, lets say ni corrupt hivi kweli anahitaji kuuza unga? Ni lazima uwe nje ya nchi kwa muda mrefu sana kusema majungu kama haya, pole sana kaka huku bongo mwendo ni mbio mbio ila the word ni kutesa kwa zamu!! ha! ha! zamu yenu iliiisha sasa ni wengine ndio maisha kaka!!, kumbuka zile enzi sisi tunakula Yanga nyie mnakula kuku wanene tena kwa mrija, ha1 ha! ha!

Le Mutuz Sytem

Wewe ule njano mkuu? acha utani......
 
Back
Top Bottom