Ndivyo jamii za Watanganyika na Wazanzibari zilivyo. Ukitaka kupata picha kamili ya jamii hizi usiende mbali - angalia hilo Bunge Maalimu la Katiba, habari zinazopewa uzito wa juu katika vyombo vya habari, mahojiano katika vipindi vya luninga, akina JK na washauri wake wakuu kv Lukuvi, Wassira, 'Chemba, Nepi, nk, nk. Unaweza kuelewa kwa nini jamii hizi mbili ni maskini na kwa nini zitaendelea kuwa maskini kwa karne nyingine!!!