Hasira za mkizi furaha ya kombe.Matokeo ndio haya, wana CCM kindaki ndaki madonge yamewanjaa, ati leo wameamua watawaadhibu kwa kuwatupa nje wabunge wao wote ambao majimbo yao yamesema ndio. Hasira hizo watazimalizia kwenye kura zao za maoni ndani ya chama, wanazozipiga leo.