Majimbo yaliyopiga kura za hapana kwa Zanzibar ni
Chaani kwa kura 3264(63.8%) za Hapana dhidi ya kura 1,864 (36.2%) za Ndiyo.
Donge kwa kura 3234(71.4%) za Hapana dhidi ya kura 1,296 (28.6.2%) za Ndiyo.
Kitope kwa kura 2,738 (59.8%) za Hapana dhidi ya kura 1,843 (40.2%) za Ndiyo.
Chwaka kwa kura 3,887 (59.5%) za Hapana dhidi ya kura 2,643 (40.5%) za Ndiyo.
Uzini kwa kura 4,235 (74.7%) za Hapana dhidi ya kura 1,437 (25.3%) za Ndiyo.
Makunduchi kwa kura 4,961 (64%) za Hapana dhidi ya kura 3,383 (21.8%) za Ndiyo.
Muyuni kwa kura 4,503 (74.5%) za Hapana dhidi ya kura 1,542 (25.5%) za Ndiyo.
Dole kwa kura 2,527 (51%) za Hapana dhidi ya kura 2,429 (49%) za Ndiyo.
Amani kwa kura 2,622(50.2%) za Hapana dhidi ya kura 2,601 (49.8%) za Ndiyo.
Kwahani kwa kura 2,709(60.1%) za Hapana dhidi ya kura 1,797 (39.9%) za Ndiyo.
Tuwasubiri Wabunge na Wawakilishi wa CCM toka majimbo haya kama kweli they will be votted in.
Duh! Ina maana kwamba Unguja yote wamekataa kata kata? Sikutarajia hii kitu kwa kweli. Sasa wasipo-vote kwa wawakilishi wao watakuwa wanajipiga miti wenyewe. Itakuwa ni sawa sawa na mtu anayegoma kula ati kupinga kitu.