Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 58,894
- 132,244
Zoezi la upigaji kura za maoni Zanzibar limeanza asubuhi hii kwa utulivu na amani hali inayotafsiriwa kama kiashiria cha Uchaguzi huru na wa haki mwezi October.
Niko hapa visiwa vya marashi ya Karafuu kuwajulisheni kinachojiri.
Karibuni.
Up Date 1.
Matokeo ya Majimbo matano ya Zanzibar, 4 wamesema ndiyo, moja limesema hapana.
Niko hapa visiwa vya marashi ya Karafuu kuwajulisheni kinachojiri.
Karibuni.
Up Date 1.
Matokeo ya Majimbo matano ya Zanzibar, 4 wamesema ndiyo, moja limesema hapana.