Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,841
- 37,579
Umesoma vizuri post yangu lakini...??? teh teh teh...Maka huu....!!:yo:
Nimeisoma Boss.
Ila nami naja mbele ya kamati yako tukufu,kutangaza ndoa mpya.
Umesoma vizuri post yangu lakini...??? teh teh teh...Maka huu....!!:yo:
kwa hiyo nije lini kuchukua mkataba wa ajira?eeeeerr mnh eeeh kwa apiarens unaonekana huitaji kuisomea, wewe utafaa hivyohivyo
kwa hiyo nije lini kuchukua mkataba wa ajira?
halafu unaonaje niwe nimeanza mwezi huu kusudi wiki ijayo nipate mshahara?
rafiki salama?
mwache mwenzio anapongezwa kule kwa kumlipua Nape.
halafu anahitaji hug ujue! mfwate kule kule umpoze na hug stress zitapungua
ha haaaa, leo lazima mtu aibiwe, lol!There you are , utapigiwa simu hivi karibuni kwa ajili ya Intavyuu binafsi...., vigezo na masharti kuzingatiwa
Nimeisoma Boss.
Ila nami naja mbele ya kamati yako tukufu,kutangaza ndoa mpya.
safi saaana......... @FP, Me mzima sana.
Mwaka wetu huu.
Itabidi akodi majeshi ya kutulinda,maana anavolipukaga, ila usijali mummy Hug na Chum vyote atavipata akirudi leo jioni.
Namwacha kwanza afanye kazi aliyotumwa na kijiji.
ha haaa, haki ya kweli nafurahia kuwa mdada.....Usijali, kuibiwa na wewe will be my pleasure..:A S-heart-2::A S-heart-2:
Karbu sana, lakini ili kuondoa utata wa kisheria na kijamii nitaomba unapokuja uambatane na wafuatao
Ruttashobolwa, Passion Lady, Arushaone, Chilli, Chibolo, tedo na Chimbuvu
safi saaana......
usisahau kuandaa na yale mambo yetu...... hakikisha hatoki hapo akishaingia kwenye himaya yako..... lazima asingizie tumbo limemkamata ghafla ili asirudi kwake, lol!
that's my girl..... keep it up!Nadhani unanijua shost angu.
Nimkamatapo msela.
Mpaka muda huu hajuti kuwa na mimi.
Nimeisoma Boss.
Ila nami naja mbele ya kamati yako tukufu,kutangaza ndoa mpya.
that's my girl..... keep it up!