Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,447
- 62,826
Ha ha ha haSukuma ndaniiiiiView attachment 883304
Hii sukuma ndani ilikuwa ni onyo kwa watu wa kada gani, ama alikuwa anaongelea ndoa za pre mature?Sukuma ndaniiiiiView attachment 883304
We mrembo mbona umepotea tena jmn..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie ninavyo vyote kasoro kimoja cha Karume Kenge! Huwa navinunua kwa wauzaji wanaotembeza vitabu hasa kwenye baa.Mkuu unavitolea wapi hivi
Serious mi nilikuwa nasafiri last week kuna jamaa aliingia navyo kwenye gari...nikanunua cha Abunuas, Alfu Lela ulela alikuwa nacho toleo la pili nikakiachaUpo serious?
Mle ndani kwa wale jamaa wa Magazeti na Vitabu ama Nje?Vipo ubungo termnal..buku 5 tu
Huyu mzee namfahamu sana na namkubali sana.Pamoja na kuwa amekuwa rafiki mkubwa wa baba yangu toka ujana wao na hivyo kuwa karibu na familia yetu, bali pia maandiko yake na mtazamo wake juu ya lugha na ustaarabu nimekuwa nazipenda tokea zamani. Hata ilifikia niakmuomba laptop aliyoitumia kuandika kitabu cha Alfu Lela U Lela iwe kumbukumbu yangu na akanipa. Nilifurahi sana aiseeHiki ni kitabu cha Nne katika mfululizo wa hadithi maarufu duniani kote za Alfu Lela U Lela (au Siku Elfu Moja na Moja) zenye asili ya Arabuni na Uajemi. Masimulizi haya ya Alfu Lela U Lela yametafsiriwa kutoka matoleo ya Kiingereza na Kijerumani. Lugha hizi za Ulaya ndimo zilimotafsiriwa hadithi hizi kwa mara ya kwanza kutoka lugha za Kiajemi, Kiarabu na Kihindi. Tafsiri ya Kiingereza ilifanywa na Sir Richard Burton ambaye anafahamika huku kweta kama mmoja wa wasafiri wa kwanza kutoka Ulaya kutembelea na ati “kuvumbua” sehemu zile walizofika. Tafsiri ya kwanza ya Kiswahili ilifanywa mwaka wa 1928 na katika kufanya hivyo sehemu nyingi zilikatwa au ziliachwa makusudi bila kuzitafsiri kwa sababu wamisionari kawakutaka wasomi wa Kiswahili wasome baadhi ya sehemu kwa sababu zao wenyewe. Matoleo haya, kwa kifupi, ndiyo yenye hadithi kamilifu kwa uhakika; yaani mtiririko wa visa na maana halisi ya hadithi kama zilivyotungwa na kutafsiriwa na magwiji wa lugha hizo mbili zaidi ya miaka mia moja iliyopita. Kiswahili kina bahati ya kumpata mfasiri, Hassan Adam, Mtanzania mwenye ujuzi wa lugha zote tatu zilizohusika katika kutayarisha tafsiri hizi. Bwana Hassan Adam ni mkufunzi wa miaka mingi katika Taasisi ya Lugha za Kiafrika katika Chuo Kikuu cha Cologne, Ujerumani.
Upo sahihi,alikua anazungumzia mabinti kuolewa badala ya kwenda shuleHii sukuma ndani ilikuwa ni onyo kwa watu wa kada gani, ama alikuwa anaongelea ndoa za pre mature?
Maana clip imeanzia katikati na kukatishwa;
Hivi vitabu hata mimi navitafuta sana. Tujukishane binakopatikana.
Tengeneza nakala utuuzie mkuuMimi ninavyo isipokuwa hicho cha hadithi za Esopo...lakini siazimishi mtu...
Mkuu kama uko dar nenda pale Dar es laam book shop utapata seti nzima ya vitabu vya alfu lela ule.....Please utanijulisha