Freestyle kuhusu chochote Jukwaa lichangamke

Freestyle kuhusu chochote Jukwaa lichangamke

Nyeto ndiyo hekima,
nyeto hunipa heshima,
Inaufanya umma,
ujue Sina hujuma,
So, nyeto inanifanya nisiikimbilie **** 😎.
Nyeto huvisha najisi mwili, tena ukiwa maskini hata uwe smart vipi unakua na gundu kupitiliza kila ukitongoza utakua unapigwa za mbavu.

Hiyo kukataliwa mpaka na vijuso huwa si bahati mbaya bali ni ile energy mbovu unayokuwa nayo ndani ya mwili.

Soma 1 Wakorintho 6:18, 6:19–20.
 
Nyeto huvisha najisi mwili, tena ukiwa maskini hata uwe smart vipi unakua na gundu kupitiliza kila ukitongoza utakua unapigwa za mbavu.

Hiyo kukataliwa mpaka na vijuso huwa si bahati mbaya bali ni ile energy mbovu unayokuwa nayo ndani ya mwili.

Soma 1 Wakorintho 6:18, 6:19–20.
Nadhani unadanganya,
mambo unayakanganya,
Nyeto ina-energy chanya.
 
Nipe skio man Kula mjani ila wazo libake kichwani
Hii sio mbaya ni vile haina kibali nchini
Jipe shavu ukipata hela
Usipege Sana kavu kumbuka umbrella.

Naheshimika kila mtaa natimba
Naogopeka kama nimemeza hirizi ya Simba.
 
Kwani we ni dizasta vina ,
Mbona unatembea sana na kina,
Ooh shit niliwaza mbali ,
Kumbe mwanetu dalali 🙌🏾
No, mimi ni ndege mdinya,
ukija vibaya nakudinya,
Yaani natafuna kama panya,
haters wakiniona wanakunya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom