Wapiga ramri chonganishi mmeanza kaziFreeman mbowe ndiye atakuwa waziri mkuu ajaye baada ya kassim majaliwa kumaliza muda wake,ni namna gani na kwa vipi ukweli ni kwamba tayari mipango imekamilika
Wapi ushahidi, au ni tetesi?!Freeman Mbowe ndiye atakuwa Waziri Mkuu ajaye baada ya Kassim Majaliwa kumaliza muda wake, ni namna gani na kwa vipi ukweli ni kwamba tayari mipango imekamilika.
Hatuwezi kuongozwa na PM darasa la sabaFreeman Mbowe ndiye atakuwa Waziri Mkuu ajaye baada ya Kassim Majaliwa kumaliza muda wake, ni namna gani na kwa vipi ukweli ni kwamba tayari mipango imekamilika.
Mchi hii lolote linawezekana, usisahau Dotto ni Naibu..., Makonda ambaye alipaswa kuwa jela ni mwenezi na Lowasa aligombea Chadema.Wapiga ramri chonganishi mmeanza kazi
Waziri mkuu ambae historia inaonyesha kuwa alikuwa ni DJ?jamani wakati mwngine tujaribu kuwa waungwanaFreeman Mbowe ndiye atakuwa Waziri Mkuu ajaye baada ya Kassim Majaliwa kumaliza muda wake, ni namna gani na kwa vipi ukweli ni kwamba tayari mipango imekamilika.
😀😀😀🤣🤣Waziri mkuu ambae historia inaonyesha kuwa alikuwa ni DJ?jamani wakati mwngine tujaribu kuwa waungwana
Mbeligiji wa singidani atajutaFreeman Mbowe ndiye atakuwa Waziri Mkuu ajaye baada ya Kassim Majaliwa kumaliza muda wake, ni namna gani na kwa vipi ukweli ni kwamba tayari mipango imekamilika.
Madagascar wako na Rais mpaka sasa ni DJ!! Acha kukalili kima mjane weweWaziri mkuu ambae historia inaonyesha kuwa alikuwa ni DJ?jamani wakati mwngine tujaribu kuwa waungwana
Au waziri wa kunywa konyagiFreeman Mbowe ndiye atakuwa Waziri Mkuu ajaye baada ya Kassim Majaliwa kumaliza muda wake, ni namna gani na kwa vipi ukweli ni kwamba tayari mipango imekamilika.
Atakuwa amevunja sheria?Freeman Mbowe ndiye atakuwa Waziri Mkuu ajaye baada ya Kassim Majaliwa kumaliza muda wake, ni namna gani na kwa vipi ukweli ni kwamba tayari mipango imekamilika.