Hili linaweza kutokea ikiwa haya mawili yatatokea.

Kwanza, CCM ikubali CHADEMA iwe na idadi kubwa ya wabunge ndani ya bunge,
Pili, Mbowe ahamie CCM agombee ubunge na ashinde.

Katika hayo mambo mawili, sioni hata moja likiwezekana.

 
Mmh! Kama itakuwa hivyo wachanga karata wanajua kucheza na akili za wananchi.
Hizi ni chenga za Iniesta wakati akiwa Barca.
 
Back
Top Bottom