AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,049
Mngeanza na yale majambazi yanayotafuna Ruzuku pale Ufipa, na kusababisha isifike hata huku Arusha kwenye ofisi ya Mkoa!
Naona sasa hivi mnalia na red brigade,
Mngeanza na yale majambazi yanayotafuna Ruzuku pale Ufipa, na kusababisha isifike hata huku Arusha kwenye ofisi ya Mkoa!
Nipo Songea kwa miaka kumi sasa. Sijaona cdm wakija kuimarisha chama huku kama wanavyoenda mbeya, mwanza, tabora, kigoma na arusha. Kunani huku? Mnamuogopa nchimbi?
Nipo Songea kwa miaka kumi sasa. Sijaona cdm wakija kuimarisha chama huku kama wanavyoenda mbeya, mwanza, tabora, kigoma na arusha. Kunani huku? Mnamuogopa nchimbi?
Lakini kumbukeni huko Tabora ndiyo nyumbani kwa musa tesha mliyemwagia sumu na yule mama mliyempiga.
Mbowe badala ya kupeleka maji kwenye jimbo lake la Hai, anazurura tu kwenye majimbo ya wenzake, asubiri october aone, ubunge atausikia redioni tu
Mbowe uwezo wake kiuongozi ni finyu sana, yaani kajimbo kadogo tu ka hai kamemshinda ndio anataka apewe nchi ,dah, hizi bange na viroba ni hatari kwa afya ya akili
Hivi kansa Mbarouk yupo?.Nadhani kesho atauona mtiti wa kamanda wa anga
Pole sana mkuu umesikia huko shinyanga mmeuza magodoro ya msaada kwa watu waliopata maafa , magodoro yaliyotolewa na wahisani kwa.. Kweli mnajenga nchi.... Unamjua Hamis Mgeja?? Unamjua Mpesya?? hao leo wote ni viongozi wa ccm na mkuu wa wilaya nususra wazichape leo... poleni sana ukoo wa panyaHivi UKAWA ilifia wapi?
teh teh, kwa nini msianze na kina shabani gurumo?Mngeanza na yale majambazi yanayotafuna Ruzuku pale Ufipa, na kusababisha isifike hata huku Arusha kwenye ofisi ya Mkoa!
haa haa kwani mbowe ndo anakusanya kodi?Mbowe badala ya kupeleka maji kwenye jimbo lake la Hai, anazurura tu kwenye majimbo ya wenzake, asubiri october aone, ubunge atausikia redioni tu
teh teh, yako wapi maisha bora yaliyohaidiwa na jk mwaka 2005? Iko wapi ari mpya, kasi mpya na nguvu mpya? Ama ni ya kuwaweka ndugu na marafiki ikulu ili waendelee kuwakwapulia watanzania? Kama kina shabani gurumo?Mbowe uwezo wake kiuongozi ni finyu sana, yaani kajimbo kadogo tu ka hai kamemshinda ndio anataka apewe nchi ,dah, hizi bange na viroba ni hatari kwa afya ya akili
Hii kanda ni muhimu sana maana wanyamwezi bado wapo usingizi wa pono wanahitaki kutolewa matongotongo
....huyu sifi bado ana meno ?
![]()
Mbowe badala ya kupeleka maji kwenye jimbo lake la Hai, anazurura tu kwenye majimbo ya wenzake, asubiri october aone, ubunge atausikia redioni tu