vunjajungu
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 576
- 245
Mungu awape nguvu makamanda!
Mojawapo ya kazi atakayofanya hapa Tabora ni uzinduzi wa Redbrigade kwa kanda hii
Mungu awape nguvu makamanda!
Usijali nitakuwepo na nitatoa Live coverage
Hizi dakika za majeruhi mkuu Molemo , tafadhalini endeleni na amsha amsha mpaka tuingie magogoni mwaka huu na kuinyoosha nchi iliyopindishwa na mafisadi CCM hawa.
Molemo niko Tabora tayari nitatuma update watu wa hamasa sana sana
Usijali nitakuwepo na nitatoa Live coverage
Mbowe badala ya kupeleka maji kwenye jimbo lake la Hai, anazurura tu kwenye
majimbo ya wenzake, asubiri october aone, ubunge atausikia redioni tu
Mbowe badala ya kupeleka maji kwenye jimbo lake la Hai, anazurura tu kwenye majimbo ya wenzake, asubiri october aone, ubunge atausikia redioni tu
Teh teh teh Wewe kuwadi kukariri kumemeza hata uelewa mdogo wa kufukia barabara uliopewa.Mbowe badala ya kupeleka maji kwenye jimbo lake la Hai, anazurura tu kwenye majimbo ya wenzake, asubiri october aone, ubunge atausikia redioni tu
Hehehe, utakufa nacho kijiba cha roho... waambie waliochota pesa esikuro wapeleke maji hai nunda wewe
Hapa hakuna hoja ya maji kwani Mbowe ni waziri wa maji CCM mwaka mtalia na kusaga menoMbowe badala ya kupeleka maji kwenye jimbo lake la Hai, anazurura tu kwenye majimbo ya wenzake, asubiri october aone, ubunge atausikia redioni tu
Tunakupuuzia kama ulivyo mpuuziMbowe uwezo wake kiuongozi ni finyu sana, yaani kajimbo kadogo tu ka hai kamemshinda ndio anataka apewe nchi ,dah, hizi bange na viroba ni hatari kwa afya ya akili
Molemo niko Tabora tayari nitatuma update watu wa hamasa sana sana