- Thread starter
- #121
chadema hatugawi vyeo, tunagawa majukumu. Rais awe Dr. Slaa, Mbowe, Lissu, Salum Mwalimu AMA nani siyo issue Sana, hatupambani kama hao maccm pepopunda, kama chama tunajua nani aee Rasi wetu. Mbowe anakukosesha usingizi punda wewe!
Asante kwa kumpa vidonge vyake huyo!