Freeman Mbowe awasili Tabora kuimarisha chama

Freeman Mbowe awasili Tabora kuimarisha chama

Maskini mzee slaa kanyimwa hela za kuzunguka kufanya harakati za kujiuza sijui atafanya nini tena make mbowe ndiyo anajipanga kugombea.

Akili za kushikiwa ni shida,
Mh.Mbowe ndiye m/ kiti wa chama amepewa jukumu hilo na cc kuhakikisha anaongea na wenye chama nchi nzima.
Dr.Slaa nae anakazi aliyopangiwa,si hao tu,hata viongozi wa kanda.chama chetu chenye viingozi makini wanajua nini cha kufanya.
sio kinana anayekula posho kwa kutembelea mashamba ya watu binafsi ya karanga!
 
Akili za kushikiwa ni shida,
Mh.Mbowe ndiye m/ kiti wa chama amepewa jukumu hilo na cc kuhakikisha anaongea na wenye chama nchi nzima.
Dr.Slaa nae anakazi aliyopangiwa,si hao tu,hata viongozi wa kanda.chama chetu chenye viingozi makini wanajua nini cha kufanya.
sio kinana anayekula posho kwa kutembelea mashamba ya watu binafsi ya karanga!

Mkuu huna haja ya kujibu huyo kibaraka wa Lumumba.Hajitambui.Hajielewi
 
Kuna mtu kanambia wanatamani uchaguzi ufanyike hata kesho wawaondoe hawa wezi wanaofanya shopping ya mboga kwa sh mil10

Wengine wanajitapa suruali zao zimejaa fedha walizoibia watanzania.Kufuru kubwa
 
Mbowe badala ya kupeleka maji kwenye jimbo lake la Hai, anazurura tu kwenye majimbo ya wenzake, asubiri october aone, ubunge atausikia redioni tu

Kamuulize CCM mwenzako Maguguli aliyemfananisha Mbowe na Malaika atakusaidia.
 
Hizi dakika za majeruhi mkuu Molemo , tafadhalini endeleni na amsha amsha mpaka tuingie magogoni mwaka huu na kuinyoosha nchi iliyopindishwa na mafisadi CCM hawa.

Mbona kanda ya kati hasa hapa Dodoma bado hamjafanya kazi kabisa hasa wilaya ya CHAMWINO na BAHI. Tafadhari CHADEMA viongozi wa kitaifa hamishieni ziara zenu katika mkoa huu, siku zimeisha na sehemu hizi watu wamelala kabisa na kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa CCM ilipita bila kupingwa. Angalie sehemu ambayo CCM ilipita bila kupingwa ndizo muanze nazo.
 
Mbona kanda ya kati hasa hapa Dodoma bado hamjafanya kazi kabisa hasa wilaya ya CHAMWINO na BAHI. Tafadhari CHADEMA viongozi wa kitaifa hamishieni ziara zenu katika mkoa huu, siku zimeisha na sehemu hizi watu wamelala kabisa na kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa CCM ilipita bila kupingwa. Angalie sehemu ambayo CCM ilipita bila kupingwa ndizo muanze nazo.

Asante sana manning

Hili tumelichukua.Tutalifanyia kazi kwa uharaka
 
Last edited by a moderator:
Pole sana mkuu umesikia huko shinyanga mmeuza magodoro ya msaada kwa watu waliopata maafa , magodoro yaliyotolewa na wahisani kwa.. Kweli mnajenga nchi.... Unamjua Hamis Mgeja?? Unamjua Mpesya?? hao leo wote ni viongozi wa ccm na mkuu wa wilaya nususra wazichape leo... poleni sana ukoo wa panya

Jana Mwenyekiti wa CCM mkoa na mkuu wa wilaya walikuwa wanapigana kwa ajili ya kituhumiana kuuza magodoro ya msaada.

Hawa watu hopeless kabisa.
 
Hii kanda ni muhimu sana maana wanyamwezi bado wapo usingizi wa pono wanahitaki kutolewa matongotongo

Wanaamka kwa kasi mkuu niamini mimi, ushahidi matokeo ya serikali za mitaa. Source mimi mwenyewe nipo huku unyamwezini.
 
Lakini kumbukeni huko Tabora ndiyo nyumbani kwa musa tesha mliyemwagia sumu na yule mama mliyempiga.

Tunakumbuka sana kuwa Tabora ndio Mbunge wa CCM alipanda jukwaani na silaha huku Naibu Katibu mkuu wa chama chake alitembea na mke wa mtu!
 
Karibuni sana makamanda mkoani Tabora, tumetangulia huku siku nyingi na kazi inaendelea vema! Mje muendelee kugongelea misumari ya mwisho katika jeneza la kukizika chama hiki cha majoka ya ufisadi yaliyojaa kiburi na dharau!
 
Safi sana cdm!...hii mbinu ya uimarishwaji Wa chama kikanda IPO vizuri
 
UTAPELI KWA KIGEZO CHA AJIRA

Na Malisa GJ.

Mnamo mwezi uliopita kuna organisation inajiita REBORN INTERNATIONAL walitangaza nafasi za kazi kwa malipo ya Tsh 4,530,000/= kwa miezi mitatu kwa position ya Civic and Voters Education Officers concerning with Tanzania Referundum Support Project.

Nasikia jana wameanza kujibu walioomba na kuwaambia wamefanikiwa kupata nafasi hizo na kuwaambia kwamba wa scan vyeti vyao na kuvituma kwa mwanasheria wao vikiambatana na Tsh 51,500/= as a verification fee inayotumwa kwenye namba walizoweka ama kwenye akaunti ya Twiga Bancorp Bank.
PLEASE AND PLEASE WENZANGU MNAIBIWA SO MSITUME HIZO PESA.
Kwanza hao Reborn ni NGO haiwezi kutangaza nafasi za maafisa wa kuandikisha wapiga kura. Nafasi hizo ni serikali tu iwezayo kuajiri chini ya wizara na idara zake. Mara nyingi waalimu ndio wamekua wakitumika.

Pili, Hao REABORN hawana ofisi popote Tanzania. Ofisi walizotaja kwenye tangazo lao la ajira kuwa zipo Mikocheni si kweli, mbona hawajaweka phisical adress kama ilivyo kwa ofisi nyingi nchini?

Halafu kwanini akaunti namba ni ya mtu binafsi? Yani organization kubwa inayoweza kulipa mil.4 kwa mtu mmoja inakosa akaunti hadi watumie ya mtu binafsi? Jiulize mara mbili, usikubali kutapeliwa kijinga.

Watu wengi wanatumia tatizo la ajira kujinufaisha. Kama ni wakweli kwanini wasiruhusu mtu averify vyeti vyake mahakamani kama ilivyo utaratibu wa siku zote?

Au kwanini wasikukate hela kwenye malipo yako wakamlipa huyo mwanasheria wao akaverify vyeti halafu wakati wa kuja kulipwa ukaambiwa kiasi fulani kilikatwa kumlipa mwanasheria?

Plz and plz wandugu msijaribu kutapeliwa kijinga hivi. Mtu mwenye nia ya kweli ya kukupa kazi hawezi kuhitaji hela. Na kama atahitaji sio kabla ya kuajiriwa. Atahakikisha umepata kazi kwanza ndio umpe hela. Ukiona mtu yeyote anayetaka hela kabla ya kazi huyo ni TAPELI..

Wameona vijana wengi hawana ajira na kwa dau walilotangaza (japo si kubwa sana) lakini vijana wengi watakimbilia maana wamechoka kutembeza bahasha za kaki maofisini.

So usikubali kutuma.. Na kama umeshatuma kunywa maji mengi ushushe hasira kisha upige kimya, maana ushatapeliwa. Kama bado hujatuma mshukuru Mungu then jipange upya, kazi zipo na utafanikiwa tu siku moja.

Foward ujumbe huu kwa wengine ili kusaidia wengine walio kwenye mchakato wa kutuma.
 
Tutafanya amsha amsha kubwa sana hapa.Tuna mategemeo makubwa na kanda hii.

Tabora wamelala muda mrefu sana, sasa kamanda wa anga anaenda kuwaamsha, hatutaki kuona mkoa wowote unachekewesha ukombozi wa pili wa nchi hii, mlioko Tabora ni wakati wenu wa kusikia neno la ukombozi kisha kufanya maamuzi yenye tija kwa taifa, ccm is no more, amkeni
 
Jamani mzee slaa kawakosea nini molemo mpaka mnamnyima pesa za kuzunguka au ule mpango wa kugombea mbowe ndiyo umeiva?

chadema hatugawi vyeo, tunagawa majukumu. Rais awe Dr. Slaa, Mbowe, Lissu, Salum Mwalimu AMA nani siyo issue Sana, hatupambani kama hao maccm pepopunda, kama chama tunajua nani aee Rasi wetu. Mbowe anakukosesha usingizi punda wewe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom