Freeman Mbowe ateuliwe kama mshauri wa Rais masuala ya biashara

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
877
4,106
Naona endapo Mhe. Mbowe akiteuliwa na Mhe. Rais kuwa mshauri wa masuala ya biashara itamsaidia sana kukabiliana na athari za kiuchumi Duniani.

Aidha itasaidia sana katika uandaaji wa mikataba kati ya Tanzania na DP world ili maslahi ya Taifa yaweze kuonekana wazi ikiwa ni pamoja na ushirikishwaji.

Nchi ni yetu sote na sasa tuwaze kuifanya nchi isonge then siasa baadaye. Reforms za kisekta zinahitaji zaidi wafanyabiashara kuliko watumishi wa umma
 
Acheni ujinga vyama vya siasa vimeundwa kuchukua madaraka siyo kuwa washauri. CCM siyo Tanzania ni chama kama vyama vingine tu.
 
Si anakwenda tu kumshauri mkuu wa nchi then anarudi?

Atuoni kama tunachelewa sana kupata maendeleo kwa kutegemea washauri wa upande mmoja?

Nadhani ipo tija tukiziunganisha sera za vyama ili kila sera iwe tested .....hybrid policy style
 
Naona endapo Mhe. Mbowe akiteuliwa na Mhe. Rais kuwa mshauri wa masuala ya biashara itamsaidia sana kukabiliana na athari za kiuchumi Duniani.

Aidha itasaidia sana katika uandaaji wa mikataba kati ya Tanzania na DP world ili maslahi ya Taifa yaweze kuonekana wazi ikiwa ni pamoja na ushirikishwaji.

Nchi ni yetu sote na sasa tuwaze kuifanya nchi isonge then siasa baadaye. Reforms za kisekta zinahitaji zaidi wafanyabiashara kuliko watumishi wa umma
Hapana haitawezekana watapata sababu na pia sidhani kama mwamba atakubali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona endapo Mhe. Mbowe akiteuliwa na Mhe. Rais kuwa mshauri wa masuala ya biashara itamsaidia sana kukabiliana na athari za kiuchumi Duniani.

Aidha itasaidia sana katika uandaaji wa mikataba kati ya Tanzania na DP world ili maslahi ya Taifa yaweze kuonekana wazi ikiwa ni pamoja na ushirikishwaji.

Nchi ni yetu sote na sasa tuwaze kuifanya nchi isonge then siasa baadaye. Reforms za kisekta zinahitaji zaidi wafanyabiashara kuliko watumishi wa umma
Kila timu ishinde mechi zake ukifungwa nje ndani unashuka daraja.
 
Naona endapo Mhe. Mbowe akiteuliwa na Mhe. Rais kuwa mshauri wa masuala ya biashara itamsaidia sana kukabiliana na athari za kiuchumi Duniani.

Aidha itasaidia sana katika uandaaji wa mikataba kati ya Tanzania na DP world ili maslahi ya Taifa yaweze kuonekana wazi ikiwa ni pamoja na ushirikishwaji.

Nchi ni yetu sote na sasa tuwaze kuifanya nchi isonge then siasa baadaye. Reforms za kisekta zinahitaji zaidi wafanyabiashara kuliko watumishi wa umma
Kwahiyo chadema hamna mpango wa kuongoza nchi mnataka mgao wa dpw?
 
Back
Top Bottom