Lissu alijulikana hata kabla ya kuingia kwenye siasa, alikuwa mwanaseria wa mazingira aliyewatetea wachimbaji wadogo wa dhahabu walioonewa wakati inaanishwa migodi mikubwa ya dhahabu na ndipo Mbowe alipomuomba ajiunge Chadema. Lissu anajadiliwa hadi na Bunge la EU wewe unasema nani anamjua.Lissu akicheza cheza watamfunga kimasihara na hakutakua na hasara yoyote, kwani nani alimjua Lissu kabla ya siasa za upinzani?? Freeman Mbowe ana historia na bongo toka baba yake Aikael Mbowe akiwa na ukwasi wa kumiliki Mbowe Hotels aka Bilicanas downtown Dsm. Sasa Lissu nani anawajua wazazi wake huko Ikungi?? watamfunga huyu na iwe ndio mwisho wake. Ngoja nichukue popcorn movie nzuri sana hii.
Sema mbowe ni kiongozi anaye hongeka kirahisi sana kusaliti haki na wajibu wa kiongozi muwajibikajiMbowe ni jabali la siasa za upinzani nchini na mwanadiplomasia nguli. Nampongeza sana.
Alichangia sana kwenye dira ya taifa akiwq kiongozi wa ChademaMbowe ni jabali la siasa za upinzani nchini na mwanadiplomasia nguli. Nampongeza sana.
Kwa sababu anatii maelekezo yenu?Mbowe ni jabali la siasa za upinzani nchini na mwanadiplomasia nguli. Nampongeza sana.
Mbowe hawezi kuhama ChademaAliyekuwa mwenyekiti wa Chadema na ambaye kwa sasa ni mwenyekiti na mgombea Urais wa Chaumma.........
Sikuwahi kuamini mbowe ni kiazi namna hii😂😂😂😂Ya kuwaringishia CDM
Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA Freeman Mbowe amepata picha ya kipekee ya pamoja na Rais Samia Suluhu Hassan baada ya uzinduzi wa Dira 2050, uliyofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete (JKCC) jijini Dodoma.
Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA Freeman Mbowe amepata picha ya kipekee ya pamoja na Rais Samia Suluhu Hassan baada ya uzinduzi wa Dira 2050, uliyofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete (JKCC) jijini Dodoma.