Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 21,854
- 27,025
Eti chadema ndo wanapigania kuwakomboa wanachadema!Ngoja nikachekee chooni😂😂😂
Kwa mtindo huu bado mnatuaminisha watanzania kwamba chadema ni chama cha upinzani kweli??
Eti chadema ndo wanapigania kuwakomboa wanachadema!Ngoja nikachekee chooni😂😂😂
Anakomaa na nani? Wewe unamsaidiaje Lissu ili akomae na reforms?Maskini Mbowe ,mimi sikujua kuna wanaume dhaifu hivyo.Lissu komaa na reforms my dear
Hii title ni ya Lucas Mwashambwa 🤣🤣🤣🤣Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA Freeman Mbowe amepata picha ya kipekee ya pamoja na Rais Samia Suluhu Hassan baada ya uzinduzi wa Dira 2050, uliyofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete (JKCC) jijini Dodoma.
Alipokuwa mwenyekiti wa chadema mbona ulikuwa humpi pongeziMbowe ni jabali la siasa za upinzani nchini na mwanadiplomasia nguli. Nampongeza sana.
Toka zako hapaNi jambo jema
Mbowe ni muungwana.Abarikiwe sana.Wenye kufanya siasa za kukinukisha watakufa kwa preshaMwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA Freeman Mbowe amepata picha ya kipekee ya pamoja na Rais Samia Suluhu Hassan baada ya uzinduzi wa Dira 2050, uliyofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete (JKCC) jijini Dodoma.
Ame miss kuwa kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeniNgoja nikachekee chooni😂😂😂
Mbowe ubarikiweMwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA Freeman Mbowe amepata picha ya kipekee ya pamoja na Rais Samia Suluhu Hassan baada ya uzinduzi wa Dira 2050, uliyofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete (JKCC) jijini Dodoma.
Mbowe hana siasa za mihemko.huamini kwenye hoja tofauti na lLisu na HecheMbowe ni muungwana.Abarikiwe sana.Wenye kufanya siasa za kukinukisha watakufa kwa presha
Mzee mnafiki sanaNgoja nikachekee chooni😂😂😂
Yaani mwenzake yupo jela ye anaenda kupiga selfieNgoja nikachekee chooni😂😂😂
tulishasema lisu ni kichaaMnataka mwenyekiti wenu akiacha kukaa na mkewe na Mbowe naye afuate hayo hayo,acheni kumpangia mzee wa watu bhana.Siasa sio uadui na kila mtu awe na maisha yake.