Freeman Mbowe apata picha ya kipekee na Rais Samia

Freeman Mbowe apata picha ya kipekee na Rais Samia

Mnataka mwenyekiti wenu akiacha kukaa na mkewe na Mbowe naye afuate hayo hayo,acheni kumpangia mzee wa watu bhana.Siasa sio uadui na kila mtu awe na maisha yake.
Ukiangalia umri wa Mbowe sio wa kurupushan, ni mda wa kulea wajukuu.
 
Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA Freeman Mbowe amepata picha ya kipekee ya pamoja na Rais Samia Suluhu Hassan baada ya uzinduzi wa Dira 2050, uliyofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete (JKCC) jijini Dodoma.

Ayatollah Mbowe tunamfahamu siku nyingi—Ni mtu wa transactions. Anaweza kuuza chochote (narudia, chochote) kama kinanunulika!
 
Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA Freeman Mbowe amepata picha ya kipekee ya pamoja na Rais Samia Suluhu Hassan baada ya uzinduzi wa Dira 2050, uliyofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete (JKCC) jijini Dodoma.

Aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema na ambaye kwa sasa ni mwenyekiti na mgombea Urais wa Chaumma.........
 
Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA Freeman Mbowe amepata picha ya kipekee ya pamoja na Rais Samia Suluhu Hassan baada ya uzinduzi wa Dira 2050, uliyofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete (JKCC) jijini Dodoma.

Shahidi wa jamhuri qmmk dakikaaaa za jiooooooni asante wajumbe mliokataa utapeli wa miaka zaidi ya 20


No reform No Election
 
Lissu akicheza cheza watamfunga kimasihara na hakutakua na hasara yoyote, kwani nani alimjua Lissu kabla ya siasa za upinzani?? Freeman Mbowe ana historia na bongo toka baba yake Aikael Mbowe akiwa na ukwasi wa kumiliki Mbowe Hotels aka Bilicanas downtown Dsm. Sasa Lissu nani anawajua wazazi wake huko Ikungi?? watamfunga huyu na iwe ndio mwisho wake. Ngoja nichukue popcorn movie nzuri sana hii.
 
Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA Freeman Mbowe amepata picha ya kipekee ya pamoja na Rais Samia Suluhu Hassan baada ya uzinduzi wa Dira 2050, uliyofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete (JKCC) jijini Dodoma.

Mbowe mwuungwana sana, amejenga upinzani wenye heshima siyo wa kuharibu nchi. Alitumia akili kushawishi vijana wa vyuo vikuu siyo km huyo lofa anayetaka kutumia nguvu eti tutakinukisha! Yule hawezi kufika kokote.
 
Back
Top Bottom