Free talk: Mwanamke shtuka!

Free talk: Mwanamke shtuka!

Mimi kuna moja hivi Braza alitafutia kazi na Scholarship ya PhD lakini alichokuja kufanywa, teh teh teh teh!
Nidyo maana mimi kama namsaidia mwanamke huwa namsaidia bure tu kwasababu nimeamua, lakini nje ya hapo huwa sitegemei sanaaaa kutoka kwao. Its a racket, kufanya betting ya maisha na mwanamke...
Hahaha...

Aisee, watu kumbe wanalambishwa mchanga .

Hicho kimbunga kibaya sana.
 
Mimi kuna moja hivi Braza alitafutia kazi na Scholarship ya PhD lakini alichokuja kufanywa, teh teh teh teh!
Nidyo maana mimi kama namsaidia mwanamke huwa namsaidia bure tu kwasababu nimeamua, lakini nje ya hapo huwa sitegemei sanaaaa kutoka kwao. Its a racket, kufanya betting ya maisha na mwanamke...
Kweli,, Kama umeamua kumsaidia msaidie tu,, kwa maana ukitegemea vinginevyo unaweza laani kabisa uzao wote..
 
Na maisha yana ups and downs, hata ukiolewa na bilionea possibly kuna siku maisha yatashake kidogo, sasa ukiwa slay queen, hicho kipindi cha mpito kitapita salama? Usije ukamuua kwa presha mumeo kwa kutaka aendelee kukuhudumia as it was before, au utakimbia nyumba? au utatafuta sponsors ili uendelee kumaintain status?.

Aisee, shemeji naona unakazia kabisa.
 
Have ma" like babe-girlunajua nini umesema maneno maziiito mno mwenye kusikia na asikie,.japo KUPANGA NI KUCHAGUA hatuingiliani lifestyles lakini penye ukweli lazima tukumbushane...

Wadada tupunguze luxuries tofauti na vipato vyetu,.tuwe na kiasi na kuridhika..tukipata wenzetu hebu tupeane support sio kisa ni mbebe wako basi ndio akome kila dhiki unambebesha kaka wa watu looh tena ujue kwao wana japo mbuzi wa maziwa basi hali akashiba.,.ndio maana wengine miti mikavu hawanenepagi kwa kufyonzwa....tujue kufanya kazi zetu na kusave pia kwa ajili ya baadae,.kumtegemea mtu sana kwanza dhambi...

Yeremia 17:5-8 ukisoma utaona mtu anaye mtegemea mwanadamu anakuwaje...

Mungu akatubariki sawasawa na utajiri wake,kusukwa-sukwa hata kumwagika...!!!!
unafaa
 
Unayosema ni sawa katika hali ya sasa mwanamke usiposimama mwenyewe kujihudumia na kujiwekea akiba utakwama kwa mengi. lakini haya yote ni kwasababu ya wanaume kusahau majukumu yao, pesa ya mwanamke sio ya kupigia mahesabu eti ndo iendeshe familia, ninaweza kuchangia lakini sio lazima. wanaume watakazia kwasababu ni wakwepa majukumu.
Tunaishi kulingana na uhalisia, wapo wanaume wanaohangaika sana na juhudi zao unaziona kabisa ila hawajafanikiwa kihiivyo. Hivyo mkiunganisha nguvu angalau mnafikia pazuri.
 
Sasa hii itakuwa biashara kichaa...

Si Bora nikupe mtaji wa kuuza udongo kuliko mambo ya 3million skuli fizi afu unaniletea Fa Fa Fa Fa Fa tena..
Hahahaaa!!! Ndio ushaanza masimango jamani!!
 
Katika ukumbusho ulio bora na huu ni mmoja wapo jamaani.

Aunt Heaven Sent nilikuwa nasoma lile gazeti lako la kwanza kabisa post no #21 yaani nimejikuta linanisuuza hali iliyosababisha nimelisoma mara tatu tatu na bado hapa natamani nikalirudie kulisoma. Lol

ubarikiwe jamaani.

Ila ndio mpunguzage kutoonekana we na Da espy humu kwani tunavikosa vingi kutoka kwenu , kwani siku zote hawakukosea waliosema utu uzima Dawa. .
Hahaaa!!
 
Poleni sana mkuu.

Dogo afanye mpango wa demu mwingine tuu maisha yaendelee ..hawa watu ndio shukrani zao hizi.



Cc Heaven Sent & espy
Hahahaaaa!! Wenye akili huwa wanaunusa utajiri miles away, yaani hauna hata godoro ila anauona utajiri wako ujao. Atakuganda unashangaa "why ananipenda hivi". Hivyo hao wachache wasiwakatishe tamaa jamani.
 
Back
Top Bottom