Free talk: Mwanamke shtuka!

Free talk: Mwanamke shtuka!

Daaaah umegusa penye ukweli kabisa. Hongera sana na ujumbe umefika
 
Unayosema ni sawa katika hali ya sasa mwanamke usiposimama mwenyewe kujihudumia na kujiwekea akiba utakwama kwa mengi. lakini haya yote ni kwasababu ya wanaume kusahau majukumu yao, pesa ya mwanamke sio ya kupigia mahesabu eti ndo iendeshe familia, ninaweza kuchangia lakini sio lazima. wanaume watakazia kwasababu ni wakwepa majukumu.
 
Have ma" like babe-girlunajua nini umesema maneno maziiito mno mwenye kusikia na asikie,.japo KUPANGA NI KUCHAGUA hatuingiliani lifestyles lakini penye ukweli lazima tukumbushane...

Wadada tupunguze luxuries tofauti na vipato vyetu,.tuwe na kiasi na kuridhika..tukipata wenzetu hebu tupeane support sio kisa ni mbebe wako basi ndio akome kila dhiki unambebesha kaka wa watu looh tena ujue kwao wana japo mbuzi wa maziwa basi hali akashiba.,.ndio maana wengine miti mikavu hawanenepagi kwa kufyonzwa....tujue kufanya kazi zetu na kusave pia kwa ajili ya baadae,.kumtegemea mtu sana kwanza dhambi...

Yeremia 17:5-8 ukisoma utaona mtu anaye mtegemea mwanadamu anakuwaje...

Mungu akatubariki sawasawa na utajiri wake,kusukwa-sukwa hata kumwagika...!!!!
Hamuwezi kubadilika.
 
Katika ukumbusho ulio bora na huu ni mmoja wapo jamaani.

Aunt Heaven Sent nilikuwa nasoma lile gazeti lako la kwanza kabisa post no #21 yaani nimejikuta linanisuuza hali iliyosababisha nimelisoma mara tatu tatu na bado hapa natamani nikalirudie kulisoma. Lol

ubarikiwe jamaani.

Ila ndio mpunguzage kutoonekana we na Da espy humu kwani tunavikosa vingi kutoka kwenu , kwani siku zote hawakukosea waliosema utu uzima Dawa. .
 
Pia kuwepo na sera zitakazo muwezesha na kumlinda mwanamke huyu anapokuwa na ubunifu katika kazi zake.

Mwanamke huyu anapoandaliwa mazingira mazuri, ni rahisi kwake kufanikiwa na kutimiza ndoto zake
Wanawake mbona mnapenda favour sana yan hata jambo hili dogo hadi muundiwe sera cjui katiba ndo mjue kua mnatakiwa kufanya investment!
 
Katika ukumbusho ulio bora na huu ni mmoja wapo jamaani.

Aunt Heaven Sent nilikuwa nasoma lile gazeti lako la kwanza kabisa post no #21 yaani nimejikuta linanisuuza hali iliyosababisha nimelisoma mara tatu tatu na bado hapa natamani nikalirudie kulisoma. Lol

ubarikiwe jamaani.

Ila ndio mpunguzage kutoonekana we na Da espy humu kwani tunavikosa vingi kutoka kwenu , kwani siku zote hawakukosea waliosema utu uzima Dawa. .

Aunt me nimerudi mazima na magazeti yangu lol, na hongera kwa kuendelea kutuwakilisha wahenga wenzio muda wote tuliopotea. Barikiwa sana
 
Dah! Kuna mmoja angekua tajiri sa hivi kupitia mimi, sema ndio hivyo kichwa maji sasa yuko kijijini analea kapauka kaa kokwa la konokono, kila mara sms za kuomba misaada tuu mara mtoto aumwa mara sina hata ela ya mafuta ya kupikia nakula chukuchuku, mwenzie kanielewa anajilia tuu life home.
 
Nikiwa nimemuoa ni mke wangu sawa..ila binti yuko kwa baba yake hapana..

Nani anataka kucheza karata dume..?
Kuna demu juzi kati kamzingua dogo wangu hadi tukagoma kwenda kupeleka posa, wakati kamsaidia sana kwenye mambo ya shule hadi kamaliza chuo, jana ndio napata stori jamaa anaemzuzua anafanya kazi duka flani anaiba ela wanaenda kuzitumbua, dogo kalia sana ila ndio hivyo tumemwambia kuhusu habari ya huyo demu asituhusishe tena labda awe mwingine, ila kwa utajiri wa dogo aliokuanao (sema alkua hamuonyeshi huyo demu) demu kapishana na ela aisee, wanawake wazuri wana shida sana.
 
Have ma" like babe-girlunajua nini umesema maneno maziiito mno mwenye kusikia na asikie,.japo KUPANGA NI KUCHAGUA hatuingiliani lifestyles lakini penye ukweli lazima tukumbushane...

Wadada tupunguze luxuries tofauti na vipato vyetu,.tuwe na kiasi na kuridhika..tukipata wenzetu hebu tupeane support sio kisa ni mbebe wako basi ndio akome kila dhiki unambebesha kaka wa watu looh tena ujue kwao wana japo mbuzi wa maziwa basi hali akashiba.,.ndio maana wengine miti mikavu hawanenepagi kwa kufyonzwa....tujue kufanya kazi zetu na kusave pia kwa ajili ya baadae,.kumtegemea mtu sana kwanza dhambi...

Yeremia 17:5-8 ukisoma utaona mtu anaye mtegemea mwanadamu anakuwaje...

Mungu akatubariki sawasawa na utajiri wake,kusukwa-sukwa hata kumwagika...!!!!
Oooh haleluya
 
Back
Top Bottom