Free talk: Mwanamke shtuka!

Free talk: Mwanamke shtuka!

Kwahiyo hako kaexperience kamoja ndio umesusa kabisa!!! Usifanye hivyo bwana.
Nimeanza kazi nina 23 miaka hiyo bwana nimejipinda mtu kaenda hadi Ulaya lakini yule Mpare alinizidi kete,
Sikutegemea kama ntakuja ingizwa mjini mimi, lakini pale niliwezwa aiseee.
Nikaacha kujifanya Sponsor tangia pale......
 
Nimeanza kazi nina 23 miaka hiyo bwana nimejipinda mtu kaenda hadi Ulaya lakini yule Mpare alinizidi kete,
Sikutegemea kama ntakuja ingizwa mjini mimi, lakini pale niliwezwa aiseee.
Nikaacha kujifanya Sponsor tangia pale......
Hahahaaaaa!! Na ujanja wote huo!!
Aibu nimeona mimi kama MO11
 
Polee, lakini alikufanya uwe makini zaidi..Wafikiri inaweza kukutokea tena?
I learned in a hard way, sikurudia tena.
Ujana wangu wote nilikuwa nafanya savings zangu na muda wa kula bata nilikuwa nakula mwenyewe bila kujibana.
Nasafiri naenda hata Garden of God, Ruaha National Park au Ngorongoro for a weekend, nikajikuta ninakuwa na afya ya kiakili na kiuchumi. Sikurudia tena kucheza kamali na mabinti wa mujini.
 
I learned in a hard way, sikurudia tena.
Ujana wangu wote nilikuwa nafanya savings zangu na muda wa kula bata nilikuwa nakula mwenyewe bila kujibana.
Nasafiri naenda hata Garden of God, Ruaha National Park au Ngorongoro for a weekend, nikajikuta ninakuwa na afya ya kiakili na kiuchumi. Sikurudia tena kucheza kamali na mabinti wa mujini.
Ukasafiri ukaniacha mdogo wako
 
Back
Top Bottom