Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,635
- 6,235
Tabora Jazz nadhani na Nyanyembe zote zilikuwa zikimilikiwa na jamaa mmoja mtu wa hapohapo Tabora. Nilikuwa silifahamu hili hadi jamaa mmoja akaniambia ilikuwa Band ya mjomba wake. Sikufuatilia sana kwani nilijua atakuwa anajua tu ilikuwa band ya mjomba ila zaidi ya hapo kwa umri wake atakuwa hawafahamu wanamuziki na historia yao.
naam mkuu mimi ni mtu wa tabora. Na ni mpenzi sana wa muziki wa Dansi. Band hizi zikipata msukumo zinaweza kufufuka. Nilisikia pia Vijana Jazz imefufuka. Kwanza nijue tabora jazz ilikua inamilikiwa na nani?