jibu la harakaharaka nani alikuwa zaidi ni pale alipofariki FRANCO , na bendi nayo ikamfuatia nyuma , waliobaki walikusanyika na kuendeleza band kwa jina la BANA OK, na kumfanya SIMARO kuwa Kiongozi lkn walishindwana, Madiluu akaunda band yake lkn ubunifu ukamshinda ,akawa anapiuga music wa OK JAZZ, familia ya Franco wakamtaka waingie mkataba kwani si zake , hakudumu saana . hakuna mwanamusic alikuwa nyota ktk safu ya uimbaji kama Sam mangwana , lkn aliondoka TP OK JAZZ IKABAKI, na ikahit pia, KOFI OLOMIDE anaweza ingawa si saana kufananishwa na FRANCO kwa maana ya kipaji, wataondoka wanamuziki wooote anabaki peke yake lkn akiibuka na wanamusic wapya ngoma atakayotoa ni kali.