Francis Cheka (TZ) vs Phil Williams (US)

Francis Cheka (TZ) vs Phil Williams (US)

Naona mkuu LEGE kapotea ghafla! hao wale "wahuni" tunaoambiwa wapo kwenye ngumi wamemlza mawasiliano yake'
 
Kudadeki maugo kapigwa kama kafumaniwa na mke wa mtu shenz type Jaluo
 
Cheka bingwa kwa point

Mkuu fanya kama kauchambuzi kidogo, maana hakuna site yeyote inayoripoti mchezo huu na wewe ndio ripota pekee duniani unayetupa habari soon baada ya mchezo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom