The Gentleman Pirate
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 1,476
- 949
Kabebwa!
unadhani kila sehemu kuna fitna kama za soka la italia
Kabebwa!
Cheka vp ameshinda au
Natabiri Cheka kupigwa mapema tu,maana alionyesha woga tangu juzi!
Kazi nzuri sana.
...kashinda kwa point!
Lakini waMAREKANI wanalalamika kuwa wametapeliwa;
- Boxer wao hajalipwa fedha walizokubaliana $8000 USD, pia walidanganya sehemu ya kuchezea, tofauti na picha walizotumia...
- mpaka sasa promoter wa kibongo kabebwa na polisi baada ya kushinda kulipa fedha walizokubaliana...
"aibu kwa TZ"
bondia francis cheka amefanikiwa kumvua ubingwa wa dunia bondia kutoka marekani kwa point katika raundi 12 nafikiri ni jambo la kujivunia tukiwa kama taifa
Uzi ulioshiba mbona upo tangu mapema jana, https://www.jamiiforums.com/sports/...ka-tz-vs-phil-williams-us-4.html#post7209693] CHEKA VS PHIL WILLIAMS.[/url]
Hahahhah chezea wabongo, wamarekani imekula kwao, usd 8000 zitoke wapi wakati mmeshindwa, waende ubalozini watapewa.
mjinga anaongea sana na akipigwa anadai uchawi, nakumbuka kuna game moja alicheza na Cheka akapewa nako za ukweli hadi akawa anaona giza pambano likaisha kwa KO, alipohojiwa akadai Cheka kamloga akawa haoni uwanjani!
mjinga anaongea sana na akipigwa anadai uchawi, nakumbuka kuna game moja alicheza na Cheka akapewa nako za ukweli hadi akawa anaona giza pambano likaisha kwa KO, alipohojiwa akadai Cheka kamloga akawa haoni uwanjani!
....Sana! Afu nakusalimu mkuu.
Huyo si mwanamke au? Hii salam ya kiume bana.....