zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,220
- Thread starter
- #81
Hapa mi hua sielewagi.
Mfano Floyd Myweather anapigania uzito gani?
Au Manny Paquiao anapigania uzito gani?
Maana kila siku huyu Cheka anawadunda mabondia wa mitaani tu, why not wale maarufu.
Iko hivi, mnaweza mkaletewa mhuni tu wa mitaani huko Marekani mkaambiwa ni bondia mkalipia kiingilio.
We ushaona wapi eti Cheka anapigana na Francis Miyeyusho kugombea ubingwa wa Dunia? Kuna mikanda mingapi ya Huo uzito kwenye la kila chama ?
Super middle weight