kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,224
- 1,685
Matokeo yalikuaje wandugu??Mpaka sasa sijui matokeo ya f cheka
...Francis "SMG" Cheka kashinda kwa point!
...inaoneka kuna mipango nyuma ya pazia "baada ya Promoter J&Keth kuzidiana kete kwenye tiketi zilizouzwa.
...inaonekana promoter J alimzunguka mwenzake Keth.! J akafyatua tiketi feki na kuzisambaza kinyemele, bila mwenzake Keth kujua kuwa kuna tiketi feki.
Inasemekana huu mkasa wa tiketi feki ulisababisha shindo kuchelewe, baada ya Keth kugundua kuwa katapeliwa na mwenzake J.
Pia imejulikana kuwa taarifa zakuwepo tiketi feki zilimfikia promoter wa Mmarekani Phil "The Drill" kabla ya pambano, kwani Phil atakiwa kupewa $8000 kabla ya pambano. Lakini Cheka inasemekana alidakishwa chake mapema.
...kwa sasa sekaseka linaendelea kituo cha polisi, baada ya promoter Keth kuomba msaada wa Polisi.
"kuna taarifa zaidi (kapuni) "inasemekana Cheka na Phil walitete kabla ya pambano"
...Bongoland kwa Mchonga!